Watu Wengi Sana Hasa Vijana Wakipatwa Na MATATIZO Wanaamua Kutumia POMBE, SIGARA, BANGI Wanaamini Wakitumia Hivi Vilevi Matatizo Yao Yanakwisha Kumbe Ndio Wanazidi Kujiongezea Matatizo Makubwa Zaidi.
Ukipatwa Na TATIZO Tatua Tatizo Acha Kujiongezea Matatizo Kwakutumia Vilevi.
Kamwe hupaswi kufanya mambo haya maishani
1. Kamwe usidharau afya yako.
2. Kamwe usiolewe/Kuoa kwa ajili ya ngono tu.
3. Kamwe usitumie zaidi ya unachopata.
4. Kamwe usiwadharau wazazi wako.
5. Usisahau kamwe nani aliyekusaidia katika nyakati ngumu.
6. USIKATE TAMAA KAMWE
Chaula na Soka wana familia wamepotea hatujui walipo sasa Leo siombi m repost Kamari ni jambo la kijamii na kibinadamu hakuna ubaguzi.
Ukikutana na Hii post weka Retweet moja tu na Mungu atakubariki🙏