George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile
George Ambangile

@george_ambangil

GeorgeAmbangile|FootballAnalyst|

ID: 4110587662

calendar_today04-11-2015 07:55:56

102,102K Tweet

799,799K Followers

792 Following

George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

Having a pressing structure is one thing , but being aggressive + use common sense is another thing . Wote Liverpool na Milan walikuwa na off the ball structure sawa : 4-2-4 . Lakini Liverpool walikuwa smart zaidi. Walichagua pressing trigger yao ( Pavlovic )

George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

United - white Asno - hiyo sijui third kit ( watajua wenyewe) Bayern - white Newcastle - third kit Bado ipi nyingine niwe nayo : kuna ile Inter Miami inabidi niipate 45Minutes Store πŸ’ͺπŸΏπŸ‘πŸΌ

United - white 
Asno - hiyo sijui third kit ( watajua wenyewe)
Bayern - white 
Newcastle - third kit 

Bado ipi nyingine niwe nayo : kuna ile Inter Miami inabidi niipate <a href="/45MinStore/">45Minutes Store</a> πŸ’ͺπŸΏπŸ‘πŸΌ
George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

You play against City , it is very important to protect your halfspaces : Inter so far doing it very good, either outside CBs step in or outside 8's track runners ( and occupy the area ) forcing City 8s outwide or deeper . I see turnovers be very crucial in this game

George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

Barca will keep holding a highline why ? It looks like they recognize Monaco dont have the tools against Highline which are :- 1: Good runners ( i.e your starting position, the choice of your runs ) 2: Good passers ( i.e all about range )

George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

Raya ana hii technique ya foot movement kwenye penati since last season niliona anakuibia mapema upande mmoja . Only Kane ali crack hiyo code , Kane alienda then aka pause kidogo

George Ambangile (@george_ambangil) 's Twitter Profile Photo

Sema mwanenu hampendi sana Odegaard daah imagine hilo soka mnalolalamikia na Odegaard angekuwa uwanjani . Angeandika makala kama 50 za kumsema tu . Huwa tunapigana banter tu , but Odegaard bhana kilainishi