Emmanuel L. Mvula
@Immamvula
Advocate of High Court
ID:2437045050
10-04-2014 13:50:21
1,3K Tweets
829 Followers
398 Following
Video📍Rufiji
'Tunasisitiza, wote ambao mashamba yao yameangamizwa na maji; na nyumba zao zimeangamizwa na maji—walipwe fidia.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
#MoyoWetuRufiji
Video 📍Rufiji
'CAG amefanya utafiti na ametoa taarifa zaidi ya miaka minne, juu ya uzambe unaoendelea kwenye Bwawa la Mwalimu Nyerere.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
Wasemaji wa Kisekta
#MoyoWetuRufiji
#WaRufijiWafidiwe
Wa pili kutoka kulia ni Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndg Dorothy Semu; na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Kivuli, Ndg Isihaka Mchinjita
Wa kwanza kulia ni Waziri Kivuli wa Fedha, Ndg Kiza Mayeye. ; na kwanza kushoto ni naibu wake, Ndg shangwe Ayo.
#CAG
#KaziInaendelea
#KufujaFedhaZaUmma
'Serikali inashikilia shilingi bilioni 208 inayodaiwa na NHIF, CAG katika ripoti yake 2022/23 ameonesha Serikali inadaiwa na NHIF kutokana na fedha ilizokopa tangu mwaka 2020.'
Kiongozi wa ACTWazalendo
Dorothy Semu
#RipotiyaCAG
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Wa pili kutoka kulia ni Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndugu Dorothy Semu.
Wa kwanza kulia ni Waziri Mkuu Kivuli, Ndugu Isihaka Mchinjita
Wa pili kutoka kushoto ni Katibu Kiongozi wa Wasemaji wa Kisekta, Ndugu Idrisa Kweweta.
Wa kwanza kushoto ni, Waziri Kivuli wa Fedha, Kiza Mayeye..
Aprili 22-24, 2024 Maadhimisho ya miaka 10 ACTWazalendo yatatupeleka Rufiji kuwafariji waathirika wa mafuriko.
#MoyowetuRufiji
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Live Naibu Mwenezi wa ACTWazalendo, Ndugu shangwe Ayo anazungunza na waandishi wa habari. Fuata kwa link hiyo hapo chini
youtube.com/live/nQptOMibe…
'Sasa tuna sheria mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi, halafu tunaenda makamishina walewale. Hii haiwezekani.'
Kiongozi Mstaafu wa ACTWazalendo
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Wasemaji wa Kisekta
#NECijiuzulu #WaRufijiWafidiwe
Muhtasari wa kile kilichotokea Rufiji, chanzo chake, athari zake na tamko tulilolitoa ACTWazalendo wakati Waziri Mkuu Kivuli, Ndg Isihaka Mchinjita alipofanya ziara huko Aprili 06, 2024.
Serikali imesababisha haya; na yatakiwa kuwalipa fidia Wananchi.
Nishati
#WarufijiWafidiwe
'Maafa ya Rufiji yameacha maumivu makubwa. Serikali ilipe fidia Wananchi. Kitendo cha kufungua Bwawa la Nyerere bila tahadhari wala tathmini ya athari zake ni uzembe. Tunataka Waziri wa Nishati ajiuzulu.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
#WaRufijiWafidiwe
'ACTWazalendo tulizipinga kanuni mpya za kikokotoo na kutoa rai kwa Serikali kurejesha kanuni za mwaka 2017 ambazo zilikuwa zinamwezesha mfanyakazi angalau kupata kiwango cha kuishi kwa staha na kumudu maisha yake baada ya kulitumikia taifa.'
Waziri Mkuu Kivuli
Isihaka Mchinjita
Chama cha ACTWazalendo Mkoa wa Dar es salaam, leo kimeungana na Chama Taifa kutaka Tume ya Uchaguzi ijiuzulu ili kupisha kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi itakayosimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Tamko limetolewa leo na Mwenezi wa Dar, Ndugu Monalisandala.
#NECijiuzulu
Kwakua Raisi amesha saini sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi, tunaitaka Tume iliopo madarakani Ijiuzulu ili kupisha mchakato wa tume huru kupatikana.
#Taifalawote #Maslaiyawote
#NECIJIUZULU
'Tume ya sasa ya Uchaguzi ijiuzulu.'
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara
Isihaka Mchinjita
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Leo Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu atakuwepo 255 Global Radio na GlobalNetTVChannel kuanzia saa 02:30 asubuhi mpaka saa 04:00 asubuhi.
Usiwache kufuatilia.
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote