KBC Radio Taifa
@RadioTaifaFM
Ukurasa Rasmi wa KBC Radio Taifa. Stesheni ya shirika la utangazaji nchini KBC, Inayoongoza kwa vipindi komavu na watangazaji wenye tajriba.
ID:1410105788
https://radiotaifa.kbc.co.ke/ 07-05-2013 12:11:20
87,4K Tweets
67,5K Followers
1,0K Following
Follow People
Shirika la msalaba mwekundu humu nchini limeonya wakazi wanaoishi pembezoni mwa kunakopita reli ya Old Kijabe kuchukua tahadhari mapema.
#KBCRadioTaifa ^FN
Mwanaume mmoja mwenye umri wa kati amehukumiwa kifungo cha miaka 18 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi msichana wa miaka 12 huko Busia.
#KBCRadioTaifa ^FN
Luteni Jenerali John Omenda ameapishwa na kuwa naibu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (VCDF).
#KBCRadioTaifa ^FN
Studioni Tunaye Jacob Nyukuri-
Senior Officer Research Planning and Strategy-Media Council of Kenya tukiangazia World Press Freedom Day
#Zinga
KBC Radio Taifa
Luke Agunga
Dorah Manya
Media Council of Kenya
Mambo vipi uliko?
Ni #Zinga time Dorah Manya na Luke Agunga
Uko safe? Sema present tukutambue
KBC Radio Taifa
'Pale tunaambiwa twende ni maji' ... Wakazi wa kijiji cha Kenton mpakani mwa kaunti za Kiambu, Nyandarua na Nakuru wanaishi kwa hofu baada ya ardhi wanakoishi kuanza kumomonyoka kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
#KBCRadioTaifa ^FN
Anavyozidi kuupiga mwingi kule Dortmund, unadhani shida ilikuwa yeye au Kocha wake Man United ?
#Dondoozamichezo ^FN
Karibu ndani ya #ReggaeVibes ; wakati wa kujibamba ngoma za Rege umebisha.....
Sign In mwana Radio Taifa..... ..Leo unataka kuchezewa kibao kipi ...?
#KBCRadioTaifa ^FN
Kocha wa zamani wa Man United Ralf Rangnick amekataa pendekezo la kujiunga na klabu ya Bayern Munich kutokana na kile amesema ni sababu za kifamilia.
#KBCRadioTaifa ^FN
Rais William Ruto amempandisha cheo luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri mpaka kwenye hadhi ya Jenerali na kumteua Moja kwa Moja kuwa mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya (KDF)
#KBCRadioTaifa ^FN
Eliud Kipchoge: Naamini katika mazoezi yangu na kama yote yatakuwa sawa nitashinda mashindano ya riadha ya Olimpiki, Paris 2024
#KBCRadioTaifa ^FN