The Chanzo
@TheChanzo
We Are Bilingual Multimedia Storytellers Looking At The World From Ground Up. Una habari? WhatsApp/Telegram 0753815105
ID:1298181821134446594
http://www.thechanzo.com 25-08-2020 08:56:33
7,2K Tweets
62,7K Followers
155 Following
Mazungumzo na Dkt. Aikande Clement Kwayu : Anaeleza historia ya uhusiano wa dini na dola hapa Tanzania, mustakabali wa siasa na sera ya mambo ya nje ya Tanzania
youtu.be/Wril1x4GMM8?si…
Teuzi za Watu Wasio Waadilifu Zinawapa Motisha Viongozi Kutumia Vibaya Ofisi za Umma
Na Tito Magoti, PG
Imekuwa siyo ajabu hapa nchini kwetu Tanzania kusikia mtu anayetuhumiwa kwa uhalifu ameteuliwa kushika ofisi ya umma. Tumeona teuzi nyingi ambazo zinabishaniwa, kwamba, mtu…