Tito Magoti
@titomagoti
Attorney-Activist | Don at @lawdonstz | Associate @civicspaceaf.
ID: 1965568524
https://www.linkedin.com/in/tito-elia-magoti-7b2aa5a4/ 16-10-2013 22:09:17
99,99K Tweet
256,256K Followers
10,10K Following
Swali kubwa la kujiuluza leo Kama digital activism, emails ikulu na Twitter space ya #ZuiaUtekaji imeleta paranoia kubwa hivi kwa Police Force TZ , je siku vijana wote hawa wakiamua kwenda mtaani hali itakuwaje? Mnaona nguvu mlizonazo? Msiache kupiga kelele #ZuiaUtekaji Tito Magoti
Polisi Police Force TZ wamemuachia FB Fortunatus Buyobe muda huu. Wamejaribu kila kitu: awe wao au wamshitaki, bila mafanikio. Ila wamechukua devices zake, kwa sababu wanazozijua wao. Be what it may, FB shall prevail. Vitisho, hofu sio fungu letu. Mguseni anuke. Na bado.
Theories za watekaji Police Force TZ: a) Soka na wenzake walijiteka kuzua taharuki b) Soka na wenzake walikuwa kwa wapenzi wao c) Soka na wenzake wana mgogoro na chama chao d) Soka na wenzake wamekutwa hifadhi ya Taifa ya Mikumi Be what it may.. RELEASE THE BOYS NOW. #ZuiaUtekaji
β¦ Hakuna Furaha kubwa na tamu kama Ushindi baada ya Mapambano dhidi ya Udhalimu, Leo mkuu Tito Magoti najua utalala usingizi Poa sana πππΌ We are far from winning this game, but ni vyema kushinda mapambano madogo madogo ili kuimarika. TUSIJIDHARAU, tunanguvu kubwa na Leo mmeona
...maandamano ya ONLINE tuu wamepaniki...siku ikiwa LIVE kama kishindo cha Wakoma watafanyaje?.... long live mjukuu Tito Magoti πͺπΏπͺπΏπͺπΏ... β½οΈπ¨πΏβπ¦―
Tito Magoti I am proud of you Brother Leo umetufunza tukiamua for real this country want be the same again. Space ya watu 500+ watawala wamehanya & from today wewe ni mwanasheria wamgu rasmi. Kwasababu sitasita kutumia UHURU wangu wa Katiba yetu mbovu kusemea mabaya ya Serikali
Ilibidi tu Twitter (X) izimwe baada ya mwamba kuliamsha space babkubwa great Tito Magoti
Our own wakili msomi toka BACK BENCHA Tito Magoti TUNU YA TAIFA inayopenda kusema UKWELI bila kupepesa macho. MUNGU kubariki na kukulinda kaka.ππΏππΏ