#NasahaZaAAH
Inawezekana kila Mtu ni mbaya kwenye simulizi zake ila usisahau popote penye simulizi za ubaya fahamu kuna wema ulitangulia, wema ukapuuzwa na uungwana ukachukuliwa poa, ndipo ubaya ukachukua nafasi.
#NasahaZaAAH
โHakuna Mtu mkimya kwenye maisha, ukiona haongei sana mbele yako ni kwakuwa wewe sio sehemu ya maisha yake, anaongea sana huyo kwa watu wake sahihiโ
Ma goal yote tuliyofunga dhidi ya Azam fc๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐.
DUBE.
AZIZ
BOKA
GEN Z MZIZE.
Mimi nadhani wakina Dada mkituomba Wanaume pesa tunapouliza ni ya nini haina haja ya kukunja sura, sisi sio Baba zenu wazazi, tuna haki ya kuhoji sio kupeana peana tu, ni haki yako kupewa pesa lakini haki huja na Wajibu wa kueleza pesa ni ya nini๐
UKWELI KUHUSU MAISHA!
Siku moja utapata ufunuo wa kwamba maisha ni bure kabisa. Kuanzia ile siku ulizaliwa mpaka ile utakayokufa. Hapa katikati kuna maisha fulani tu. Omba upate mwangaza wa kuyatafakari maisha mapema, itakusaidia sana kujua uishi vipi.
Nimekutana na diary