Mwaka 1915 Kuna Wanamke alichelewa kwenye mazishi ya Dada yake aliyekuwa anaitwa Essie Dunbar akaomba wamtoe kwenye Jeneza ili aone Uso wake kwa mara ya mwisho, Walivyofunua tu yule Dada alimwangalia kwa Tabasamu na kuamka. Dada Essie aliishi miaka 47 mingine kabla ya kufa tena
Sisi vijana bwana, tukipata vihela vya bia, kubadilisha simu na mboga, na tugari twa 15m tunaanza dharau. Oya maisha bado sana, tunakaa na wazee wenye properties za 4B na hawana huo ushamba.