Luhaga Mpina
@luhagampina
Mbunge wa Jimbo la Kisesa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi.
ID: 1807728826870616064
01-07-2024 10:52:31
26 Tweet
5,5K Takipçi
3 Takip Edilen
Inashangaza sana kuona Police Force TZ wanachukua hatua za kuanza kufanya uchunguzi baada ya Tweet ya Mheshimiwa Rais. Hili tukio lina zaidi ya saa 12, mko kimya. Mkumbuke, nyie na taasisi zote hamumfanyii Rais kazi, mnawafanyia Watanzania kwa mujibu wa sheria.