Mama zetu ni watu jasiri sana wame pambana sana kutukuza na wapo kushuhudia mafanikio yetu.โ ๏ธ
UKIFANIKIWA MKUMBUKE BI MKUBWA.
MWANAMKE MWENYE UPENDO WA KWELI๐ฏ๐
Muda huu 16:58 Mhe Boniface Jacob ndio anapandishwa kizimbani hapa kwenye Mahakama ya Kisutu.
Mawakili upande wa serikali wamefika, tunamsubiri Bwana Hakimu.
Mtu Mnaheshimiana Vizuri Hata Sometimes Una Engage Tweet Zake Halafu Kumbe Yeye Eti Ameku Unfollow Anataka Kuwa Star Kisiri Siri ๐ฎ๐ฎ๐๐๐๐
Muda wa ku cash out followers ๐ฏ๐ฏ๐ฏ๐ฏ๐ฅ
Weka handle tuondoke bado mapema โญ๏ธโญ๏ธ
Drop handles letโs gain ๐๐๐๐
Retweet imfikie elon ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฏ๐จ๐จโญ๏ธโญ๏ธโญ๏ธ
Hakuna mwandishi wa habari alie jitoa kumuhoji msanii hata 1 juu ya maandano
Kwamba hii nchi haina waandishi wa habari za siasa
Hovyo kabisa ๐ฎ๐ฎ๐ฎ