ILHAM 🖤
@claramogul
Young Africans SC 💚🖤💛//#DarYoungAfricans
ID:734024895428984832
21-05-2016 14:15:47
162,9K Tweets
149,8K Followers
4,7K Following
Kama Nchi si tunaona kasi ya Mabadiliko kidijitali swali muhimu ni tumejiandaje?
Karibu kwenye Mjadala uliondaliwa na The Chanzo kutupa ujuzi wa kina katika eneo hili
kushiriki jiandikishe kwa kubofya link hii👇🏼 forms.gle/rYCkGKUZ4HJoRF…
MUHIMU NA USIPANGE KUKOSA!…
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari ishirikiane na vyombo vya Habari katika kuweka utaratibu rafiki kwa wanahabari Wanawake wa kuripoti matukio ya ukatili kazini.
Tanzania Media Women
#WomeInMediaTz
Kesho Jumamosi ni siku ya Uhuru na Ubunifu wa Kidijitali na The Chanzo (The Chanzo) wamekuandalia mijadala mbalimbali na watu washuhuri watazungumza.
Usipange kukosa 🔥
kushiriki bofya link hii ujisajili forms.gle/rYCkGKUZ4HJoRF…
#UhuruNaUbunifu
Huuziwi mbuzi kwenye gunia ukinunua kiwanja chako cha lapexproperties
Utapelekwa na wataalamu ukione kwanza, kisha utafanya maamuzi.
Hatimiliki ya kiwanja chako ni kipaumbele chao.
#LapexProperties
Oyaa hii sio ya kukosa kabisa ni tukio kubwa la kibabe lenye #BiteVibes na msisimko wa #HadhiYaJuu ! Tukutane Posta Kijitonyama tarehe 26/27 april Tiketi zinapatikana kwa 10k kupitia Nilipe App. Usipitwe na performance ya wasanii A-list ya bongo na wengine wakipagawisha steji.
'Sababu ya kuwa na Mahakama katika nchi ni kusimamia sheria za nchi na sio baadhi ya viongozi au vyombo vingine kusimamia sheria hizo,' Salim Said Mwandishi mkongwe akizungumzia mapungufu sheria za habari. #UhuruWaHabariZanzibar
TAMWA Zanzibar
Oya wenye michongo ya 10M kuna ujumbe wenu hapa kutoka kwa Eliud Anganile 😌
#SwahibaLanguLako
Mpango mkakati kutekelezwa katika kuhakikisha wananchi wa eneo la Afrika Mashariki wananufaika na faida za kiuchumi kwa soko na fursa tulizonazo.
#MamaYukoKazini
#Mtumba
CONTACTS: Wa.me/255718007463 WhatsApp📞 Signal, Telegram 📧,Calls☎️, TxT✉️
#TUNAFANYADELIVERY 🛵📦 #MIKOANITUNATUMA 🚛📦
MIRIAM💜 𝐊𝐢𝐝𝐮𝐝𝐮 𝐌𝐭𝐮 𝐉𝐑™ Willy
Kila siku inakuja na changamoto zake tunajua hauwezi kuwa na pesa kila siku ndio maana Soft Finance wakaja na #MpangoPesa ili kuweza kuwa suluhisho la matatizo yako ya kifedha. Wasiliana nao leo na upate mkopo wako ndani ya dk 45 tu.
#SoftFinance