Ezekiel ‘Top Pen’ Kamwaga
@ezekiel_kamwaga
Editor at Azam Media. Founder @GazetilaDunia. Host a Podcast #EzekielKamwagaShow. I analyze African Politics. Researcher. @soas Alumni
ID:1241782065223344128
22-03-2020 17:42:19
10,0K Tweets
28,5K Followers
676 Following
Msiogope mabadiliko kwenye vyama. Leo hii, Dorothy Semu anapeleka ACTWazalendo katika maeneo ambako pengine Zitto MwamiRuyagwa Kabwe angepata taabu kuingia. Anazungumza na kuwaelewa watu kwa namna ambayo huenda ZZK asingeweza. Mabadiliko ni muhimu. Wakati wote, popote
Jana mhudumu wa Precision Air Dar - Kili kanivunja mbavu. Nimekaa siti ya nyuma kabisa kabla ndege haijaanza kuruka kanifuata kuomba nikakae siti ya mbele kidogo. Weight yangu ingeweza kusababisha ndege ipate taabu kupaa😂😂. Sasa sina ujanja, “Janabism” itanihusu 😝
Mdahalo kuhusu miaka 10 ya ACTWazalendo unaendelea hapa Ukumbi wa Y.M.C.A Moshi Kilimanjaro.
KC Dorothy Semu
Kaimu Katibu Mkuu, Salim Bimani
KC Mstaafu, Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Mwongozaji Ezekiel ‘Top Pen’ Kamwaga
#10MaslahiYaWote
#10MamlakaKamili
Ezekiel ‘Top Pen’ Kamwaga Siku wakipata hela nzuri wafanye survey simple tu. 'Ukisikia jina ACT-Wazalendo, nini cha kwanza kinakujia kichwani mwako. Andika kwenye kadi hii kwa kutumia neno moja litakalowakilisha kilichokujia kichwani.' Halafu wakusanye maoni wawaite wabobezi wachambue.