Mwanaisha Mndeme
@mwanaishamndeme
Advocate,Notary Public & Commissioner for Oaths|Secretary for Foreign Affairs|Shadow Minister for Industry and Trade @ACTWazalendo|Tanzanian
ID: 978577444239265792
http://www.actwazalendo.or.tz 27-03-2018 10:20:18
16,16K Tweet
12,12K Takipçi
602 Takip Edilen
"Bunge lichunguze ukiukwaji wa haki za binadamu na kusitisha operesheni ya kuwaondoa Wananchi katika Vijiji 11 Kaliua Tabora." Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria Maharagande Mbarala #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo
"Bunge lichunguze ukiukwaji wa haki za binadamu na kusitisha operesheni ya kuwaondoa Wananchi katika Vijiji 11 Kaliua Tabora." Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria Maharagande Mbarala #TaifaLaWote #MaslahiYaWote ACTWazalendo
"Tunataka Mkuu wa Wilaya ya Kaliua na Mkuu wa Mkoa wa Tabora wawajibishwe kwa ushirika wao wa kuruhusu vikosi vya Ulinzi JWTZ, wanamgambo na askari wa TFS kufanya uonevu kwa wananchi wa Vijiji vya ISAWIMA." Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria Maharagande Mbarala #TaifaLaWote
Uzi Picha na matukio ya katika shughuli ya kusherehekea utumishi wa Mwenyekiti Mstaafu Babu Duni. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili ACTWazalendo
Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman akisalimiana na Mwenyekiti Mstaafu Babu Duni. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Othman Masoud Othman Zitto MwamiRuyagwa Kabwe KC Dorothy Semu na Mwenyekiti ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman. #AhsanteBabuDuni
KC Dorothy Semu ameteua Kamati ya Wasemaji wa Kisekta ya ACTWazalendo Zanzibar. Kamati imepewa majukumu ya kusimamia Serikali ya Zanzibar kwa niaba ya Wananchi kisera, kisheria, kiutendaji na kuhakikisha katiba ya Zanzibar inafuatwa. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
KC Dorothy Semu ameteua Kamati ya Wasemaji wa Kisekta ya ACTWazalendo Zanzibar. Kamati imepewa majukumu ya kusimamia Serikali ya Zanzibar kwa niaba ya Wananchi kisera, kisheria, kiutendaji na kuhakikisha katiba ya Zanzibar inafuatwa. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili