Si sahihi kutukanwa Raia au Kiongozi. Lakini mazingira yanaonesha CCM NDIO MWALIMU WA MATUSI KWA VIONGOZI. Moja ya ushahidi ni SAUTI YA KISONGE. Kwa miaka mingi imefurika matusi kwa Maalim Seif Sharif Hamad. Waandishi na Wahariri wa Kisonge hawajatekwa wala kupotezwa.