millardayo(@millardayo) 's Twitter Profileg
millardayo

@millardayo

Award winning TV/Radio Personality | Hosting Amplifaya on CloudsFM |Journalist from Tanzania covering East Africa and beyond | Bookings [email protected]

ID:132880407

linkhttp://www.millardayo.com calendar_today14-04-2010 12:30:30

145,1K Tweets

2,7M Followers

488 Following

Follow People
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

: Mbunge wa Jimbo la Konde Visiwani Zanzibar, Mohammed Said Issa ameishauri Serikali kurejesha utaratibu wa kutumia hati ya kusafiria (Passport) kuingia visiwani Zanzibar ikiwemo Wananchi wanaotokea Tanzania Bara ili kuvilinda visiwa vya Zanzibar kwa kudhibiti Watu kujaa

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Jimbo la Konde Visiwani Zanzibar, Mohammed Said Issa ameishauri Serikali kurejesha utaratibu wa kutumia hati ya kusafiria (Passport) kuingia visiwani Zanzibar ikiwemo Wananchi wanaotokea Tanzania Bara ili kuvilinda visiwa vya Zanzibar kwa kudhibiti Watu kujaa Zanzibar

Mbunge wa Jimbo la Konde Visiwani Zanzibar, Mohammed Said Issa ameishauri Serikali kurejesha utaratibu wa kutumia hati ya kusafiria (Passport) kuingia visiwani Zanzibar ikiwemo Wananchi wanaotokea Tanzania Bara ili kuvilinda visiwa vya Zanzibar kwa kudhibiti Watu kujaa Zanzibar
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.

TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi. TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi.

TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limelazimika kuzima mitambo mitano kwakuwa majitaji ya umeme yapo chini huku uzalishaji wa umeme ukiwa ni mwingi. TANESCO imesema hayo wakati Afisa wa Shirika hilo akiongea mbele ya Waziri Mkuu kwenye Maonesho ya Wiki ya Nishati
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Tanzania imetajwa kuwa inaongoza kwa idadi kubwa ya Simba, Nyati, na Chui ambapo inashika namba moja kwa Wanyama hao Afrika huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na Tembo wengi Barani Afrika hivyo kuchochea ongezeko la Watalii na kufikia malengo ya Seriiali ya kufikisha idadi ya

Tanzania imetajwa kuwa inaongoza kwa idadi kubwa ya Simba, Nyati, na Chui ambapo inashika namba moja kwa Wanyama hao Afrika huku ikishika nafasi ya tatu kwa kuwa na Tembo wengi Barani Afrika hivyo kuchochea ongezeko la Watalii na kufikia malengo ya Seriiali ya kufikisha idadi ya
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash umepumzishwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro leo April 23,2024

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash umepumzishwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro leo April 23,2024 #MillardAyoUPDATES
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma limewakamata Watuhumiwa 30 kwa kosa la kukutwa na bangi huku Ekari tano zikiteketezwa kwa kuchomwa moto na Jeshi hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma SACP Marco G. Chilya amesema hayo leo April 23,2024 wakati akiongea na Waandishi wa Habari

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mchezo wa JKT Tanzania dhidi ya Yanga SC uliyokuwa uchezwe saa 16:00 leo katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo leo Mbweni Jijini Dar es Salaam umeahirishwa kutokana na uwanja kujaa maji.

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash umeagwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro tayari kwa maandalizi ya kupumzishwa Kijijini hapo leo April 23,2024

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash umeagwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro tayari kwa maandalizi ya kupumzishwa Kijijini hapo leo April 23,2024 #MillardAyoUPDATES
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash tayari umefikishwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro ambako Gardner anatarajia kupumzishwa leo April 23,2024

Mwili wa Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G Habash tayari umefikishwa Kijijini kwao Kikelelwa, Kata ya Tarakea Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro ambako Gardner anatarajia kupumzishwa leo April 23,2024 #MillardAyoUPDATES
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Hivi ndivyo hali ilivyo Jangwani usiku huu baada ya mvua kubwa kunyesha leo, maji yamejaa barabarani na kusababisha foleni kubwa huku baadhi ya Watu wakishuka kwenye daladala na kuamua kutembea kwa miguu.

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile amesema amepokea taarifa ya kukatika kwa barabara ya Kibada-Mwasonga kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es salaam na amesema tayari Timu ya Watalamu kutoka TANROADS wako njiani kuelekea kwenye eneo lililoathirika kwa lengo la

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Kama unatokea Mjini na unarudi kwako au unaenda maeneo ya Mbweni, Tegeta, Boko, Bunju na Bagamoyo fahamu kuwa barabara hazipitiki kwa urahisi kutokana na mvua kubwa kusababisha maeneo mengi ya barabara kujaa maji na kupelekea foleni kubwa ambapo magari yanasogea taratibu sana.

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Watu 13 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace lililokuwa likitokea Somanga kuelekea Kilwa Mkoani Lindi kugongana uso kwa uso na lori la mafuta leo April 22,2024 katika Kijiji cha Somanga.

Kamanda wa Jeshi la Polisi

Watu 13 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace lililokuwa likitokea Somanga kuelekea Kilwa Mkoani Lindi kugongana uso kwa uso na lori la mafuta leo April 22,2024 katika Kijiji cha Somanga. Kamanda wa Jeshi la Polisi
account_circle