TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile
TAMWA Zanzibar

@tamwa_zanzibar

TAMWA Zanzibar is a non-partisan not for profit sharing, non-Governmental professional membership organization. #MwanamkeNiKiongozi #ZuiaUkatiliZanzibar

ID: 855043886313594887

linkhttp://www.tamwaznz.or.tz calendar_today20-04-2017 13:02:03

3,3K Tweet

2,2K Followers

2,2K Following

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍📰"Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee, na Watoto ZNZ imeandaa mikakati maalum ikiwemo kutoa mafunzo, nyenzo na programu za ushauri ili kusaidia wagombea wanawake," Mhe Anna Athanas Paul, Naibu Waziri wizara hiyo. #MwanamkeNiKiongozi Ambassador Tone Tinnes

📍📰"Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee, na Watoto ZNZ imeandaa mikakati maalum ikiwemo kutoa mafunzo, nyenzo na programu za ushauri ili kusaidia wagombea wanawake," Mhe Anna Athanas Paul, Naibu Waziri wizara hiyo. 

#MwanamkeNiKiongozi <a href="/NorAmbTZ/">Ambassador Tone Tinnes</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Waandishi wanapaswa kuzingatia uchambuzi wa takwimu ambazo zitaongeza tija katika jamii na kumwezesha na kuboresha nafasi ya mwanamke kushika nafasi za uongozi," – Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA Zanzibar #MwanamkeNiKiongozi

"Waandishi wanapaswa kuzingatia uchambuzi wa takwimu ambazo zitaongeza tija katika jamii na kumwezesha  na kuboresha nafasi ya mwanamke kushika nafasi za uongozi," –
Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi 
<a href="/TAMWA_Zanzibar/">TAMWA Zanzibar</a> 
#MwanamkeNiKiongozi
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Katika dunia ya sasa, ambapo watu wengi wanapata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, waandishi wanapaswa kujikita huko ili kuendana na mabadiliko," – Tatu Ali Mtumwa, Mratibu YMF. #MwanamkeNiKiongozi TAMWA Zanzibar

"Katika dunia ya sasa, ambapo watu wengi wanapata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, waandishi wanapaswa kujikita huko ili kuendana na mabadiliko," – Tatu Ali Mtumwa, Mratibu YMF.
#MwanamkeNiKiongozi 
<a href="/TAMWA_Zanzibar/">TAMWA Zanzibar</a>
Lubasha Jr (@marekamalili) 's Twitter Profile Photo

"Data husaidia kupata taarifa sahihi, kuelewa ukubwa wa tatizo, na kurahisisha upatikanaji wa ufumbuzi," – Fahima Mohamed Issa, Mkurugenzi wa Idara ya Takwimu za Kijamii, Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Tanzania Zanzibar. #MwanamkeNiKiongozi TAMWA Zanzibar

"Data husaidia kupata taarifa sahihi, kuelewa ukubwa wa tatizo, na kurahisisha upatikanaji wa ufumbuzi," – Fahima Mohamed Issa, Mkurugenzi wa Idara ya Takwimu za Kijamii, Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Tanzania Zanzibar.
#MwanamkeNiKiongozi
<a href="/TAMWA_Zanzibar/">TAMWA Zanzibar</a>
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

" Waandishi wa habari wana wajibu wa kuzingatia uchambuzi wa takwimu kwenye habari zao ambazo zitasaidia kuleta tija katika jamii ikiwa ni pamoja na kumuinua mwanamke kushika nafasi za uongozi," Dkt Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ. #MwanamkeNiKiongozi

" Waandishi wa habari wana wajibu wa kuzingatia uchambuzi wa takwimu kwenye habari zao ambazo zitasaidia kuleta tija katika jamii ikiwa ni pamoja na kumuinua mwanamke kushika nafasi za uongozi," Dkt  <a href="/mzuri_issa/">Mzuri Issa</a>, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.

#MwanamkeNiKiongozi
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍"Dunia ya sasa watu wengi wanapata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, hivyo waandishi wa habari mnatakiwa mjikite huko ili kuendana na mabadiliko hayo," Tatu Mtumwa, mratibu program ya kuwaendeleza waandishi wa habari chipukizi Zanzibar. Unaridhika na uandishi wa mtandaoni⁉️

📍"Dunia ya sasa watu wengi wanapata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, hivyo waandishi wa habari mnatakiwa mjikite huko ili kuendana na mabadiliko hayo," Tatu Mtumwa, mratibu program ya kuwaendeleza waandishi wa habari chipukizi Zanzibar.

Unaridhika na uandishi wa mtandaoni⁉️
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍“Vijana na Wanawake ni Msingi Imara wa kufikia Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.” #HappyNaneNaneDay #Vanilla #NaneNane #nanenaneday

📍“Vijana na Wanawake ni Msingi Imara wa kufikia Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.” #HappyNaneNaneDay 

#Vanilla #NaneNane #nanenaneday
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍“Mila na desturi za Tumbatu sio kikwazo watoto wa kike kushiriki michezo. Jamii ikiandaliwa, kuelimishwa na kujengewa miundombinu rafiki vipaji vya michezo kwa wanawake vitaibuka,” Ngwali Haji, Sheha Tumbatu Uvivini. Je, mila ni kikwazo kwenye jamii yako? #MichezoKwaWote

📍“Mila na desturi za Tumbatu sio kikwazo watoto wa kike kushiriki michezo.  Jamii ikiandaliwa, kuelimishwa na kujengewa miundombinu rafiki vipaji vya michezo kwa wanawake vitaibuka,” Ngwali Haji, Sheha Tumbatu Uvivini. 

Je, mila ni kikwazo kwenye jamii yako?

#MichezoKwaWote
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Waandishi wa habari chipukizi kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya kuwajengea uwezo kuandika habari za Wanawake na Uongozi ikiwa ni awamu ya tatu ya programu inayotekelezwa na TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na Shirika la NEDemocracy. #MwanamkeNiKiongozi

Waandishi wa habari chipukizi kisiwani Pemba wameanza mafunzo ya kuwajengea uwezo kuandika habari za Wanawake na Uongozi ikiwa ni awamu ya tatu ya programu inayotekelezwa na TAMWA ZNZ kwa kushirikiana na  Shirika la <a href="/NEDemocracy/">NEDemocracy</a>.

#MwanamkeNiKiongozi
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍"Waandishi wa habari ibueni changamoto na kutoa suluhisho kwa jamii kwasababu mna nafasi kubwa ya kushauri taifa kufanya mageuzi katika masuala mbalimbali," Fat-hiya Mussa, mratibu TAMWA ZNZ. #MwanamkeNiKiongozi Mafunzo kwa waandishi chipukizi Zanzibar. Ambassador Tone Tinnes

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

“Waandishi wa habari wana jukumu la kuzielewa takwimu zilikuwa zinakusudia nini kabla ya kuziandikia habari kisha ndipo anapaswa kuziandikia kwa kutumia njia inayoeleweka kwa urahisi na jamii,” Muhlat Omar, afisa kutoka Ofisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikai Z'bar #MwanamkeNiKiongozi

“Waandishi wa habari wana jukumu la kuzielewa takwimu zilikuwa zinakusudia nini kabla ya kuziandikia habari kisha ndipo anapaswa kuziandikia kwa kutumia njia inayoeleweka kwa urahisi na jamii,” Muhlat Omar, afisa kutoka Ofisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikai Z'bar
#MwanamkeNiKiongozi
Generation Equality (@genequalitytz) 's Twitter Profile Photo

📍"Wakati tunawafundisha wanawake kuhusu masuala ya Usawa wa kiuchumi, lazima tuweke mkakati wa kuwafundisha kuepukana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwasababu wanawake wengi wanakumbana na ukatili wa kiuchumi," Abeida Rashid Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii.

📍"Wakati tunawafundisha wanawake kuhusu masuala ya Usawa wa kiuchumi, lazima tuweke mkakati wa kuwafundisha kuepukana na vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwasababu wanawake wengi wanakumbana na ukatili wa kiuchumi," Abeida Rashid Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii.
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

📍"Waandishi wa habari wana jukumu la kuzielewa takwimu zilikuwa zinakusudia nini kabla ya kuziandikia habari kisha ndipo anapaswa kuziandikia kwa kutumia njia inayoeleweka kwa urahisi na jamii," Muhlat Omar, Ofisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikali Z'bar. Ufahamu umuhimu wa takwimu?

📍"Waandishi wa habari wana jukumu la kuzielewa takwimu zilikuwa zinakusudia nini kabla ya kuziandikia habari kisha ndipo anapaswa kuziandikia kwa kutumia 
njia inayoeleweka kwa urahisi na jamii," Muhlat Omar, Ofisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikali Z'bar.

Ufahamu umuhimu wa takwimu?
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Viongozi wa vyombo vya habari wana wajibu wa kuhakikisha wao ndio wanakuwa msitari wa mbele kusimamia kuondoa vikwazo vyote vya kijinsia kwenye vyumba vya habari. Kuendelea kuwa na viongozi wanaoamini mwanamke hawezi kutoa mchango ni tatizo kwa maendeleo ya sekta ya habari.

TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

"Nilikua sijui kusoma ila bada ya kuhamasishwa kujiunga na darasa la kisomo cha watu wazima nimejua na imenisaidia kuwafuatilia wanangu wakirudi skuli," Ruwaila Ali (26), mnufaika kisomo cha watu wazima #SWILProject Pemba Kujua kusoma na kuandika ni msingi wa #MwanamkeNiKiongozi

"Nilikua sijui kusoma ila bada ya kuhamasishwa kujiunga na darasa la kisomo cha watu wazima nimejua na imenisaidia kuwafuatilia wanangu wakirudi skuli," Ruwaila Ali (26), mnufaika kisomo cha watu wazima #SWILProject Pemba

Kujua kusoma na kuandika ni msingi wa #MwanamkeNiKiongozi
TAMWA Zanzibar (@tamwa_zanzibar) 's Twitter Profile Photo

Leo Septemba 3, TAMWA ZNZ imefanya mkutano wa kuwatambulisha wanachama wapya waliopitishwa na mkutano mkuu wa mwaka 2024 ili kuongeza nguvu ya utetezi wa haki za wanawake na watoto kupitia vyombo vya habari. #MwanamkeNiKiongozi

Leo Septemba 3, TAMWA ZNZ imefanya mkutano wa kuwatambulisha wanachama wapya waliopitishwa na mkutano mkuu wa mwaka 2024 ili kuongeza nguvu ya utetezi wa haki za wanawake na watoto kupitia vyombo vya habari.

#MwanamkeNiKiongozi