Dr Elizabeth Sanga
@drbsanga
Health management and Public health specialist
Social business entrepreneur
Spokesperson for Health Sector - ACT Wazalendo
#ACTkiganjani
#Taifakwanza
ID: 1571486403003023361
http://actwazalendo.or.tz 18-09-2022 13:09:55
8,8K Tweet
4,4K Takipçi
374 Takip Edilen
Wawakilishi wa Kata za majimbo ya Mafinga Mjini, Mufindi Kaskazini na Mufindi Kusini Mkoani Iringa. Tunaimarisha chama chetu ACTWazalendo mashinani
#TANZANI: SITAOMBA RADHI, CUF INAKUFA KWELI - ADO "Nimesoma tamko la CUF kunitaka kuomba radhi kwa kauli yangu kuwa CUF inakufa na kuwataka wanachama na viongozi wake waliosalia ambao wana moyo wa mapambano kujiunga na ACTWazalendo. Msimamo wangu ni kuwa sitaomba radhi kwa kauli
Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo Ndugu, Dorothy Semu avuna Wanachama 50 kutoka vyama vya NCCR Mageuzi na TLP katika Jimbo la #Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Kiongozi wa Chama amevuna Wanachama hao tarehe 17 Septemba,2024 alipofanya kikao Cha ndani na Viongozi wa Jimbo la Vunjo.
Kiongozi wa ACTWazalendo Ndugu, Dorothy Semu avuna Wanachama 50 kutoka vyama vya NCCR Mageuzi na TLP katika Jimbo la #Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Kiongozi wa Chama amevuna Wanachama hao Septemba 17, 2024 alipofanya kikao cha ndani na Viongozi wa Jimbo la Vunjo. #Miezi10
KC ACTWazalendo Ndugu, Dorothy Semu avuna Wanachama 50 kutoka vyama vya NCCR Mageuzi na TLP katika Jimbo la #Vunjo Mkoani Kilimanjaro. Kiongozi wa Chama amevuna Wanachama hao Septemba 17, 2024 alipofanya kikao cha ndani na Viongozi wa Jimbo la Vunjo. #Miezi10 #WanachamaMilioni10
Makamu Mwenyekiti wa ACTWazalendo Bara, Ndugu Isihaka Mchinjita muda huu yuko global youtube.com/live/FC8VfOKth…
ZIARA AWAMU YA PILI SEPT 19 1. KC Dorothy Semu: Jimbo la Kiteto. 2. M/Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita Jimbo la Kibamba. #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo
Wakazi wa Hondohondo Jimbo la Kilindi Mkoani Tanga wamelalamika mbele ya KC Dorothy Semu juu ya ukosefu wa shule katika Kitongoji chao. Kiongozi wa ACTWazalendo alifanya ziara ya majimbo ya Mkoa Tanga na kusikiliza kero za Wananchi. #WanachamaMilioni10 #Miezi10
Naibu Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Bara, Ester Thomas, ametoa wito wa kuimarisha juhudi za kulinda demokrasia nchini Tanzania huku akipongeza juhudi zilizofanyika tangu enzi za waasisi wa taifa kwa kupigania demokrasia, ikiwamo kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi vya