Mwanaisha Mndeme
@mwanaishamndeme
Advocate,Notary Public & Commissioner for Oaths|Secretary for Foreign Affairs|Shadow Minister for Industry and Trade @ACTWazalendo|Tanzanian
ID: 978577444239265792
http://www.actwazalendo.or.tz 27-03-2018 10:20:18
16,16K Tweet
12,12K Takipçi
602 Takip Edilen
KC Dorothy Semu ameteua Kamati ya Wasemaji wa Kisekta ya ACTWazalendo Zanzibar. Kamati imepewa majukumu ya kusimamia Serikali ya Zanzibar kwa niaba ya Wananchi kisera, kisheria, kiutendaji na kuhakikisha katiba ya Zanzibar inafuatwa. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili