Balyx(@Balyx_) 's Twitter Profileg
Balyx

@Balyx_

On 18th of December 2022, I witnessed MESSI WINNING A WORLD CUP☝️ Messi, Martial, FDJ

ID:1229683405358608386

calendar_today18-02-2020 08:26:00

194,3K Tweets

140,8K Followers

6,0K Following

Follow People
MIRIAM💜(@MiriamMkanaka) 's Twitter Profile Photo

Zimebaki siku chache Sana Platform mpya izunduliwe SiasaZetu kaa mkao wa kula kupata Madini mengi

Haswa kipindi hiki tunapoelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa.

account_circle
Fred Kavishe(@fredkavishe) 's Twitter Profile Photo

Watumishi inawahusu hii
Mkopo wa hadi Tsh Milioni 200. ndani ya saa 24 tu bila kujaza fomu wala bila kuja benki.

Tembelea ess.utumishi.go.tz kisha chagua CRDB Bank kuvuta pesa Leo.

account_circle
Mwaki(@Mwaki28) 's Twitter Profile Photo

Hello Miss T habari gani? Wewe ni mkenya? Nimeshawishika na kiswahili chako hakika unatamka vizuri sana na ikiwezekana naomba Nije DM kwako.

Natanguliza samahani sana 😂🙏

account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka inatokana na tafiti ambazo zinamuongoza Mshauri Mwelekezi kufuatila kwa umakini mazingira ya Mwajiri kama yana vigezo ambavyo vinajazwa katika Dodoso. Suzanne Ndomba-Doran (Adv.)

Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka inatokana na tafiti ambazo zinamuongoza Mshauri Mwelekezi kufuatila kwa umakini mazingira ya Mwajiri kama yana vigezo ambavyo vinajazwa katika Dodoso. @AdvSuzanne #EYA2024 #Dress2Impress #OldIsGold #Back2The70s
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka imeendelea kuwa tukio muhimu katika kalenda za Waajiri nchini ambapo kwa miaka kadhaa sasa tuzo hizi zimendelea kuhamasisha Waajiri  kuweka juhudi katika usimamizi wa rasilimali watu.~ Suzanne Ndomba-Doran (Adv.)

     

Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka imeendelea kuwa tukio muhimu katika kalenda za Waajiri nchini ambapo kwa miaka kadhaa sasa tuzo hizi zimendelea kuhamasisha Waajiri  kuweka juhudi katika usimamizi wa rasilimali watu.~ @AdvSuzanne #EYA2024   #Dress2Impress  #OldIsGold  #Back2The70s
account_circle
KIPEPE 💊(@kipepe123) 's Twitter Profile Photo

Usipange Kukosa Leo Hii🔥

Tukizungumza 'Uraibu Wa Mitandao na Michezo ya Kubashiri'

Ungana nami Leo kuanzia saa Mbili Usiku Katika Mjadala huu wa muhimu sana wakaribishe wengi kadri uwezavyo.

GUSA LINK HII 👇👇
x.com/i/spaces/1ynKO…

Usipange Kukosa Leo Hii🔥 Tukizungumza 'Uraibu Wa Mitandao na Michezo ya Kubashiri' Ungana nami Leo kuanzia saa Mbili Usiku Katika Mjadala huu wa muhimu sana wakaribishe wengi kadri uwezavyo. GUSA LINK HII 👇👇 x.com/i/spaces/1ynKO…
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Leo tarehe 30, Mei 2024 Mkurugenzi Mkuu wa ATE, Bi Suzzane Suzanne Ndomba-Doran amefanya kikao na wahandishi wa habari kuzindua mchakato wa Tuzo za Mwajiri bora wa mwaka 2024.

     

Leo tarehe 30, Mei 2024 Mkurugenzi Mkuu wa ATE, Bi Suzzane Suzanne Ndomba-Doran amefanya kikao na wahandishi wa habari kuzindua mchakato wa Tuzo za Mwajiri bora wa mwaka 2024. #EYA2024   #Dress2Impress  #OldIsGold  #Back2The70s
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

ATE imeingia Mkataba na kampuni ya AUDITAX International, leo imewakilishwa na Bw. Straton Makundi. Kampuni ya Auditax International itaratibu mchakato wa Kumtafuta Mwajiri Bora wa mwaka 2024. - Suzanne Ndomba-Doran (Adv.)

ATE imeingia Mkataba na kampuni ya AUDITAX International, leo imewakilishwa na Bw. Straton Makundi. Kampuni ya Auditax International itaratibu mchakato wa Kumtafuta Mwajiri Bora wa mwaka 2024. - @AdvSuzanne #EYA2024 #Dress2Impress #OldIsGold #Back2The70s
account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Wakuu, kimfuacho mtu chake.
Nyumba inauzwa.
1. Vyumba vitatu vyote masters + 1 public toilet
2. Ina ukubwa wa 12mx15m
3. Imejengwa kwa stone dust (mchanga wa mawe kutoka karasha sio mchanga wa kawaida)
4. Ina lenta tatu (kwenye msingi, chini ya madirisha na juu ya madirisha)

Wakuu, kimfuacho mtu chake. Nyumba inauzwa. 1. Vyumba vitatu vyote masters + 1 public toilet 2. Ina ukubwa wa 12mx15m 3. Imejengwa kwa stone dust (mchanga wa mawe kutoka karasha sio mchanga wa kawaida) 4. Ina lenta tatu (kwenye msingi, chini ya madirisha na juu ya madirisha)
account_circle
Johnbest Mwahaja(@JohnieZeBest) 's Twitter Profile Photo

Niwaombe Waajiri wajitokeze kwa wingi kushiriki katika mchakato huu wa kumtafuta Mwajiri Bora wa Mwaka ambaye atatangazwa rasmi katika tukio la utoaji wa Tuzo hizi litakalofanyika wiki ya kwanza ya mwezi Disemba 2024. Suzanne Ndomba-Doran (Adv.)

Niwaombe Waajiri wajitokeze kwa wingi kushiriki katika mchakato huu wa kumtafuta Mwajiri Bora wa Mwaka ambaye atatangazwa rasmi katika tukio la utoaji wa Tuzo hizi litakalofanyika wiki ya kwanza ya mwezi Disemba 2024. @AdvSuzanne #EYA2024 #Dress2Impress #OldIsGold #Back2The70s
account_circle
ILHAM 🖤(@claramogul) 's Twitter Profile Photo

Mpira ni hisia.
Na kwa kuheshimu hisia za wapenda soka DStv inakuletea burudani ya EURO 2024 kwenye sebule yako ama kwa kutumia DStv Stream kiganjani kwako!!

Mechi zote 51 zitakuwa live 🔥!!

Kujiunga ni *150*53 !!!

account_circle
Azam FC(@azamfc) 's Twitter Profile Photo

Jhonier Blanco, ni mshambuliaji wa viwango, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Colombia (Categoría Primera) akiwa na Fortaleza CEIF, akifunga mabao 13, msimu uliopita 2022/23.

👇👇👇

#GoalMachine Jhonier Blanco, ni mshambuliaji wa viwango, alikuwa mfungaji bora wa Ligi Daraja la Kwanza nchini Colombia (Categoría Primera) akiwa na Fortaleza CEIF, akifunga mabao 13, msimu uliopita 2022/23. 👇👇👇
account_circle
Daktari Wa Manesi 💉💊(@McinikaWaLamar) 's Twitter Profile Photo

Wee Kama una chombo cha moto mwanangu onyesha funguo🔑!

Kamilisha bili zako zote na malipo ya Serikali bila makato kwa CRDB SimBanking muda wowote mahali popote

Kimbiza miamala mingi zaidi kupitia SimBanking 📱ukimbize bajaji🛺

Piga *150*03# au Pakua App

Wee Kama una chombo cha moto mwanangu onyesha funguo🔑! Kamilisha bili zako zote na malipo ya Serikali bila makato kwa CRDB SimBanking muda wowote mahali popote Kimbiza miamala mingi zaidi kupitia SimBanking 📱ukimbize bajaji🛺 Piga *150*03# au Pakua App #SwahibaLanguLako
account_circle
KAPETO🇹🇿(@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Makundi maalum yanakumbwa na changamoto nyingi especially kwenye Kupata Huduma za Kijamii Serikali Imuunga Mkono Mh Raisi kwa mikakati mizuri kwa Makundi Maalum.

account_circle
Mwaki(@Mwaki28) 's Twitter Profile Photo

Itakuwa vizuri sana endapo kutakuwa na njia rahisi na haraka zaidi ya kupata mikopo kwa wajasiriamali, maana tunajua Kuna mikopo ila kupata sasa ndio kazi mno🙌

account_circle