Radio Jambo
@RadioJamboKenya
Ongea usikike! 🇰🇪 97.5 NRB | 92.3 MSA | 100.1 KSM | 96.9 NKR | 99.5 ELD | 99.3 NYERI | 92.7 MERU | 95.3 WEBUYE | 89.3 KISII | 104.9 KITUI | 105.7 VOI | 📻
ID:2515401066
https://radiojambo.co.ke 22-05-2014 13:13:01
437,3K Tweets
245,5K Followers
311 Following
Pauline Murumba ndiye atakuwa mgeni wetu leo ndani ya #WeekendWarmUp saa tano. Iwapo una swali kwake, tuma ujumbe kwa 22494
#KituoChawakenya
Serikali pia inatarajia kuongeza mapato yanayotokana na huduma zake ambayo hukusanywa kwenye mfumo wa kidijitali wa eCitizen hadi wastani wa Ksh 1 bilioni katika kipindi hicho hicho. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/yanayoj…
Wakati Mfalme alikwepa kuzungumzia maelezo ya kesi hiyo, alishughulikia uvumi wa mtafaruku kati yake na Ballo
#KituoChaWakenya
radiojambo.co.ke/burudani/2024-…
Bobrisky, mwanamume aliyebadili jinsia na kuwa mwanamke kupitia msururu wa sajari alifungwa miezi 6 baada ya video kumuonesha akirusha noti za Naira juu klabuni kwa mashabiki wake huku akirarua zingine.
#KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Hivi majuzi alizungumzia maisha yake mwenyewe kupitia mitandao ya kijamii, akizima madai ya kuwa mgonjwa.
#KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Mamlaka ya jiji la Kampala, KCCA inapanga kung'oa korodani za mbwa wapatao 8,000 kama njia moja ya kuzuia kuenezwa kwa ugonjwa wa ‘rabies’ unaotokana na kuumwa na mbwa. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/kimatai…
Mahojiano yake yaliwekwa wazi saa chache baada ya timu yake ya Atalanta kuinyuka Liverpool - timu ya zamani ya Mane - mabao 3-0 nyumbani Anfield katika michuano ya Uropa.
#KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/michezo/footba…
Je, kahaba na malaya ni kitu kimoja ama kuna tofauti?😂😂 #MbusiiNaLionTekeTeke #RombosaFriday #KituoChaWakenya
“Mkuu wa Utumishi wa Umma amechukua hatua katika kutii maagizo na hivyo lazima kila mtu mwingine
#KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/yanayoj…
Masaa ni ile ya waras. Temple ya Waras ndio mambo yote. MBUSII DEH HSC ENUFA LION AHOM #MbusiiNaLionTekeTeke #RombosaFriday #KituoChaWakenya
Wapenzi hao walitangaza wanatarajia mtoto wao wa kwanza mnamo Aprili 11, 2024. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/grafiki…
DP amekuwa uso wa vita vya serikali dhidi ya uuzaji wa pombe haramu na dawa za kulevya kote nchini. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/taarifa…
Kutana na DAN WEMA , mhubiri anayesaidia watu katika jamii. Anasema azma yake ya kusaidia ilitokana na maisha aliyolelewa.
Massawe Japanni
instagram.com/reel/C5qTZBIoP…
#ILIKUAJE #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Alisema Tugi ni jina la mwanawe lakini pia akaeleza kuhusu ‘Kabati’ – neno lililoonekana katika upande wa mbele. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Alijitenga na shughuli za kibiashara na zabuni za serikali akisema, 'Sifanyi biashara. Siombi zabuni za serikali. Sina maslahi yoyote yanayokinzana na mwajiri yeyote'. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/makala/…
TID aliwahi kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja mnamo 2008, alitumikia kifungo cha miezi minne jela kisha akaachiliwa. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/grafiki…
.DAN WEMA ndiye mgeni wetu kwa #ILIKUAJE leo. Una swali kwake, tuma ujumbe kwa 22494.
Massawe Japanni #JamboMassawe #KituoChaWakenya
Anachopokea hata hivyo, hakiwezi kuthibitishwa kutoka kwa klipu hiyo. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/habari/yanayoj…
Diamond alisema sababu iliyomfanya kuhangaika kuirudisha kofia ile ni kwa sababu ilikuwa ya kipekee ambayo aliipata kibahati. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/masta…
Miongoni mwa watu waliovutiwa ni sosholaiti Amber Ray, ambaye aliuliza kwa uchezaji siri ya Pierra kudumisha mng'ao kama huo wa ujana ni gani. #KituoChaWakenya radiojambo.co.ke/burudani/2024-…