sweetpie💞
@Rousieeeee
Accountant||owner of @Msosi_chap||Business Consultancy||Entrepreneur|| @YoungAfricansSC @chelseafc ♋️Queen
ID:1355164579656044545
29-01-2021 14:43:41
68,7K Tweets
42,9K Followers
2,6K Following
Mother’s day ni May 12. Usiache ipite bila kumpatia mama yako zawadi ya kumpongeza
Hatuna bei fixed ya zawadi zetu. Njoo na bajeti yako tukuandalie zawadi yenye kumbukumbu nzuri kwa mama.
Bei ni kuanzia 5000 tu
💥Free wrapping & gift card. 💥
0713149537
Karibu TheGiftHaus
'Waandishi wa habari musichoke kupaza sauti kupitia vyombo vya habari, ili kupata sheria rafiki zenye kuleta mabadiliko katika jamii,' Zaina Mzee Afisa Mradi wa kuimarisha #UhuruWaHabari .
'Vyombo vya Habari nchini bado havijapewa heshima yake ipasavyo, hivyo waandishi lazima kupaza sauti kwa manufaa ya umma ili kurejesha heshima yake,' Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.
#UhuruWaHabari
'Kazi ya Utetezi (advocacy) imeanza kwa miaka takribani kumi kudai Sheria mpya ya habari yenye maslahi kwa waandishi na jamii kwa ujumla,' Shifaa Said, Afisa Mwandamizi, Baraza la Habari Tanzania (MCT) Zanzibar.
Nini kifanyike ili kupatikana #UhuruWaHabari ?
Leo Mei 10, watendaji wa TAMWA ZNZ wamekutana na wafanyakazi wa redio jamii Mkoani Fm Pemba kubadilishana uzoefu kuhusu masuala ya #UhuruWaHabari ikiwemo uchechemuzi wa mabadiliko ya sheria zinazokwaza uhuru huo kwa jamii na vyombo vya habari.
Unatambua umuhimu #UhuruWaHabari ?