Mwemezi Rwiza, PhD
@SwahiliBible
I teach and do research at the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST), TZ. Science author (https://t.co/ugYmynyQkh…)
ID:65426411
https://www.nm-aist.ac.tz 13-08-2009 18:11:56
46,7K Tweet
78,8K Takipçi
1,7K Takip Edilen
Mwemezi Rwiza, PhD Wengi tumebaki kutafta umaarufu wa uelewa wa maarifa ya KIMUNGU mtandaoni na kuacha kusudi la Mungu ndani yetu. Kwa maana kila mtu ana njia yake pia ana kitu cha kipekee kuliko mwingine ili tufaidiane.
Mwemezi Rwiza, PhD “Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni. ”
— 1 Wakorintho 2:13 (Biblia Takatifu)
Mwemezi Rwiza, PhD Kweli kabisa. Badala ya kumgeukia ambaye 'atatufundisha na kutukumbusha yote' wanageukia mtandao. At the same time sio kwa lengo la kujifunza.