UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profileg
UCSAF-Tanzania

@UcsafT

Universal Communications Service Access Fund ( UCSAF)was established to facilitate access to communication services.
For more information call 0800110700

ID:1357000480883421187

linkhttp://ucsaf.go.tz calendar_today03-02-2021 16:18:54

785 Tweets

1,3K Followers

12 Following

UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi ya UCSAF ikiongozwa na Mwenyekiti wake Profesa John Nkoma, wakiwa katika ukaguzi wa mnara uliojengwa na kampuni ya Tigo Tanzania katika kijiji cha Ukwavila kata ya Mapogoro, wilayani Mbarali Mkoani Mbeya. Mnara huo ni miongoni mwa minara 758 inayojengwa nchi nzima

Bodi ya Wakurugenzi ya UCSAF ikiongozwa na Mwenyekiti wake Profesa John Nkoma, wakiwa katika ukaguzi wa mnara uliojengwa na kampuni ya @Tigo_TZZ katika kijiji cha Ukwavila kata ya Mapogoro, wilayani Mbarali Mkoani Mbeya. Mnara huo ni miongoni mwa minara 758 inayojengwa nchi nzima
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

➡️KUONGEZA NGUVU UWEZO WA MINARA 304 KUTOKA 2G KWENDA 3G/4G

Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2024, minara 243 ilikuwa imekwisha ongezewa nguvu( upgrade) na tayari inatoa huduma kwa wananchi.

/25

➡️KUONGEZA NGUVU UWEZO WA MINARA 304 KUTOKA 2G KWENDA 3G/4G Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2024, minara 243 ilikuwa imekwisha ongezewa nguvu( upgrade) na tayari inatoa huduma kwa wananchi. #zBajetiWHMTH2024/25 #SmartTanzania #TzDigitalTransformation #KaziIendelee
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

➡️UJENZI WA MINARA 758 YA MAWASILIANO VIJIJINI.

Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2024, jumla ya minara 124 ilikuwa imewashwa na tayari inatoa huduma kwa wananchi.

UTEKELEZAJI UNAENDELEA.
/25

➡️UJENZI WA MINARA 758 YA MAWASILIANO VIJIJINI. Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2024, jumla ya minara 124 ilikuwa imewashwa na tayari inatoa huduma kwa wananchi. UTEKELEZAJI UNAENDELEA. #zBajetiWHMTH2024/25 #SmartTanzania #TzDigitalTransformation #KaziIendelee
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa( Mb) akimsikiliza Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye( Mb) akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini.
/25

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa( Mb) akimsikiliza Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye( Mb) akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini. #zBajetiWHMTH2024/25 #SmartTanzania #TzDigitalTransformation
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2024/2025 bungeni jijini Dodoma

/25

Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2024/2025 bungeni jijini Dodoma #zBajetiWHMTH2024/25 #SmartTanzania #TzDigitalTransformation
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akiwasilisha Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2024/2025 bungeni jijini Dodoma

/25

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akiwasilisha Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara kwa mwaka 2024/2025 bungeni jijini Dodoma #zBajetiWHMTH2024/25 #SmartTanzania #TzDigitalTransformation #KaziIendelee
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akizungumza na wananchi wakati wa ziara ya kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano katika kijiji cha Kinua Kata ya Namelock, Kiteto Mkoani Manyara.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) akizungumza na wananchi wakati wa ziara ya kukagua hali ya upatikanaji wa huduma za mawasiliano katika kijiji cha Kinua Kata ya Namelock, Kiteto Mkoani Manyara.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amekagua mnara wa mawasiliano uliojengwa na kampuni ya Airtel kwa rukuzu ya Serikali inayotolewa kupitia UCSAF katika kijiji cha Kinua kilichopo Kata ya Namelock, Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb) amekagua mnara wa mawasiliano uliojengwa na kampuni ya Airtel kwa rukuzu ya Serikali inayotolewa kupitia UCSAF katika kijiji cha Kinua kilichopo Kata ya Namelock, Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Justina Mashiba kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya kwanza kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Justina Mashiba kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya kwanza kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Fraston Kangawingo kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya pili kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Fraston Kangawingo kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya pili kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Elfider Vahaye kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya tatu kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Elfider Vahaye kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya tatu kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle