UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profileg
UCSAF-Tanzania

@UcsafT

Universal Communications Service Access Fund ( UCSAF)was established to facilitate access to communication services.
For more information call 0800110700

ID:1357000480883421187

linkhttp://ucsaf.go.tz calendar_today03-02-2021 16:18:54

785 Tweets

1,3K Followers

12 Following

UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Justina Mashiba kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya kwanza kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Justina Mashiba kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya kwanza kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Fraston Kangawingo kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya pili kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Fraston Kangawingo kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya pili kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Elfider Vahaye kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya tatu kwa mwaka 2022/ 2023.

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), tunampongeza Elfider Vahaye kwa kuwa Mfanyakazi Hodari nafasi ya tatu kwa mwaka 2022/ 2023.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Hatua ya pili ya mafunzo ya TEHAMA kwa wasichana yameanza rasmi jana tarehe 25 Aprili, 2024 huko Zanzibar, ambapo jumla ya wanafunzi wa kike 31 wanashiriki. Wanafunzi 26 wanatoka kila mkoa wa Tanzania Bara na wengine watano( 5) wanatoka Zanzibar.

.

Hatua ya pili ya mafunzo ya TEHAMA kwa wasichana yameanza rasmi jana tarehe 25 Aprili, 2024 huko Zanzibar, ambapo jumla ya wanafunzi wa kike 31 wanashiriki. Wanafunzi 26 wanatoka kila mkoa wa Tanzania Bara na wengine watano( 5) wanatoka Zanzibar. #WasichanaNaTEHAMA2024.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Hafla ya uzinduzi wa Jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote ( UCSAF) iliyofanyika leo Aprili 25, 2024 eneo la Ndejengwa jijini Dodoma.

account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

๐Ÿ“ Njedengwa,Dodoma

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiriaUzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Mfuko waMawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Njedengwa mkoani Dodoma. Tarehe 25 Aprili 2024.

๐Ÿ“ธ:O/Makamu waโ€ฆ

๐Ÿ“ Njedengwa,Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiriaUzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Taasisi ya Mfuko waMawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Njedengwa mkoani Dodoma. Tarehe 25 Aprili 2024. ๐Ÿ“ธ:O/Makamu waโ€ฆ
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Muonekano wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), lenye jina la UCSAF HOUSE. Ofisi hizi za Makao Makuu zinapatikana eneo la Njedengwa, Makulu jijini Dodoma.

KARIBUNI SANA.

Muonekano wa jengo la Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), lenye jina la UCSAF HOUSE. Ofisi hizi za Makao Makuu zinapatikana eneo la Njedengwa, Makulu jijini Dodoma. KARIBUNI SANA.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye( Mb).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye( Mb).
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango na viongozi wengine maalum wakati akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Ndejengwa, Makulu jijini Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango na viongozi wengine maalum wakati akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Ndejengwa, Makulu jijini Dodoma.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Ndejengwa, Makulu jijini Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) lililopo eneo la Ndejengwa, Makulu jijini Dodoma.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ambaye ni mgemi rasmi akiwasili Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), kwa ajili ya kushiriki hafla ya uzinduzi wa jengo hilo lililoko eneo la Njedengwa, Makulu Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, ambaye ni mgemi rasmi akiwasili Ofisi za Makao Makuu ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote( UCSAF), kwa ajili ya kushiriki hafla ya uzinduzi wa jengo hilo lililoko eneo la Njedengwa, Makulu Dodoma.
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

MUDA: Kuanzia saa tatu kamili ( 03:00) asubuhi.
Uzinduzi utafanyika Jengo la UCSAF HOUSE, 10 Barabara ya UCSAF, Makulu Dodoma.

MGENI RASMI KATIKA HAFLA HII NI Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wizara ya Habari,Mawasiliano naTeknolojia yaHabari Nape Moses Nnauye Justina Mashiba

MUDA: Kuanzia saa tatu kamili ( 03:00) asubuhi. Uzinduzi utafanyika Jengo la UCSAF HOUSE, 10 Barabara ya UCSAF, Makulu Dodoma. MGENI RASMI KATIKA HAFLA HII NI Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. @wizarahmth @Nnauye_Nape @jtmashiba
account_circle
UCSAF-Tanzania(@UcsafT) 's Twitter Profile Photo

Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mwanza wakichangia mada, kuuliza maswali na kutoa maoni wakati wa mdahalo uliofanyika baada ya wasilisho kuhusu hatua zilizofikiwa na Serikali, katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi minara 758 ya mawasiliano vijijini.

Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mwanza wakichangia mada, kuuliza maswali na kutoa maoni wakati wa mdahalo uliofanyika baada ya wasilisho kuhusu hatua zilizofikiwa na Serikali, katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi minara 758 ya mawasiliano vijijini.
account_circle