Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profileg
Ahmed Ally

@ahmed__ally

Media & Communication Manager Simba Sports

ID:1478356854514270208

calendar_today04-01-2022 13:25:32

1,3K Tweets

484,4K Followers

13 Following

Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

TUMEKABIDHI HARRIER 2008

Karibu ofisini Automedali Tz Limited tuzungumze kuhusu magari au tukuagizie gari utakalo

Tunapatikana Jijini Dar Es Salaam Osterby Barabara ya Ali Hassan Mwinyi katika jengo la Dar Es Free Market au Tupigie #0748898888

account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Chombo ya heshima Harrier 2008 imefika na kukabidhiwa kwa Mteja wetu

Hii ni gari ambayo haishuki wala kupungua hadhi yake

Sisi Automedali Tz Limited hatuagizi Harrier za kawaida kawaida tunaagiza Harrier ya viwango vya juu kama hiyo

Karibu ofisini tuzungumze kuhusu magari au…

Chombo ya heshima Harrier 2008 imefika na kukabidhiwa kwa Mteja wetu Hii ni gari ambayo haishuki wala kupungua hadhi yake Sisi @medalimotors hatuagizi Harrier za kawaida kawaida tunaagiza Harrier ya viwango vya juu kama hiyo Karibu ofisini tuzungumze kuhusu magari au…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Moja kati ya Kocha bora kuwahi kuwa nao Simba Sports

Haikua rahisi kumpata Mwalimu wa kaliba yake na hakuna aliyeamini kama tungemudu kuwa na kocha wa aina hiyo

Kumpata Mwalimu huyu ni ishara kuwa viongozi wetu walionesha dhamira ya dhati ya kuipeleka Simba kwenye kilele cha…

Moja kati ya Kocha bora kuwahi kuwa nao Simba Sports Haikua rahisi kumpata Mwalimu wa kaliba yake na hakuna aliyeamini kama tungemudu kuwa na kocha wa aina hiyo Kumpata Mwalimu huyu ni ishara kuwa viongozi wetu walionesha dhamira ya dhati ya kuipeleka Simba kwenye kilele cha…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Wakati mwingine Matokeo yasiyoridhisha ya timu huwa yanafifisha ubora wa mchezaji mmoja mmoja au matokeo mazuri ya timu hua yanaficha madhaifu ya mchezaji mmoja mmoja

Fredy Michael Fungafunga tangu amewasili Simba Sports amefunga jumla ya Magoli 9 katika mashindano yote…

Wakati mwingine Matokeo yasiyoridhisha ya timu huwa yanafifisha ubora wa mchezaji mmoja mmoja au matokeo mazuri ya timu hua yanaficha madhaifu ya mchezaji mmoja mmoja Fredy Michael Fungafunga tangu amewasili Simba Sports amefunga jumla ya Magoli 9 katika mashindano yote…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Team Automedali Tz Limited

Sisi ndio wale wataalamu wa kuagiza magari kutoka sehemu mbalimbali duniani

Hizo ni namba za gari ambazo tumekabidhi kwa wateja wetu hii leo

Tunajivunia uaminifu na ubora wa huduma zetu

Tunatoa ushauri kuhusu Magari, tunaagiza Magari na tunapokea malipo…

Team @medalimotors Sisi ndio wale wataalamu wa kuagiza magari kutoka sehemu mbalimbali duniani Hizo ni namba za gari ambazo tumekabidhi kwa wateja wetu hii leo Tunajivunia uaminifu na ubora wa huduma zetu Tunatoa ushauri kuhusu Magari, tunaagiza Magari na tunapokea malipo…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Leo nimefanya Mkutano na Wanachama na Mashabiki wa Simba Mkoani Singida

Agenda ya kwanza ilikua ni maandalizi ya mchezo wetu dhidi ya Ihefu na kuwataka Wana Singida kujitokeza kwa wingi Uwnajani lakini pia tupambane kuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo huo

Agenda ya pili…

Leo nimefanya Mkutano na Wanachama na Mashabiki wa Simba Mkoani Singida Agenda ya kwanza ilikua ni maandalizi ya mchezo wetu dhidi ya Ihefu na kuwataka Wana Singida kujitokeza kwa wingi Uwnajani lakini pia tupambane kuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo huo Agenda ya pili…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Team ya mauzo ya Automedali Tz Limited imerejea kazini hii leo baada ya kumaliza kusheherekea Eid El Fitri

Mteja wetu unaehitaji kuagiza gari kutoka nje ya Nchi karibu ofisini kwetu tukuchagulie gari utakalo

Kwa wale ambao wanahitaji gari lakini hajui aagize gari gani Automedali Tz Limited

Team ya mauzo ya @medalimotors imerejea kazini hii leo baada ya kumaliza kusheherekea Eid El Fitri Mteja wetu unaehitaji kuagiza gari kutoka nje ya Nchi karibu ofisini kwetu tukuchagulie gari utakalo Kwa wale ambao wanahitaji gari lakini hajui aagize gari gani @medalimotors…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Vijana wetu wapo tayari kuendelea na mapambano ya kuipigania Simba

April 13 dhidi ya Ihefu ni mechi ngumu lakini ni mechi muhimu ya kutuweka kwenye ramani ya kupigania Ubingwa wa Tanzania

Tuwaombe wana Simba tushikamane kipindi hiki ili tutimize lengo hili lililobaki mkononi…

Vijana wetu wapo tayari kuendelea na mapambano ya kuipigania Simba April 13 dhidi ya Ihefu ni mechi ngumu lakini ni mechi muhimu ya kutuweka kwenye ramani ya kupigania Ubingwa wa Tanzania Tuwaombe wana Simba tushikamane kipindi hiki ili tutimize lengo hili lililobaki mkononi…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Unataka kuagiza gari?? Karibu Automedali Tz Limited tupo kwa ajili ya kazi hiyo

Automedali Tz Limited ni Wabobezi wa kuagiza Magari kutoka sehemu mbalimbali duniani

Malipo yetu ni kwa awamu mbili mpaka nne

Fika Ofisini kwetu Dar Free Market Jijini Dar Es Salaam

Au tupigie kwa #0748898888

Unataka kuagiza gari?? Karibu @medalimotors tupo kwa ajili ya kazi hiyo @medalimotors ni Wabobezi wa kuagiza Magari kutoka sehemu mbalimbali duniani Malipo yetu ni kwa awamu mbili mpaka nne Fika Ofisini kwetu Dar Free Market Jijini Dar Es Salaam Au tupigie kwa #0748898888
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Safari yetu ya ligi ya Mabingwa Afrika imefikia ukingoni, Tumefanya kila kinachowekezana lakini mpinzani ameonesha ukubwa wake kwetu

Kujifunza hakuna mwisho na maisha ya mpira ni mchakato usio na kikomo.

Hii imekwisha tujipange kwa msimu ujao Insha Allah

Safari yetu ya ligi ya Mabingwa Afrika imefikia ukingoni, Tumefanya kila kinachowekezana lakini mpinzani ameonesha ukubwa wake kwetu Kujifunza hakuna mwisho na maisha ya mpira ni mchakato usio na kikomo. Hii imekwisha tujipange kwa msimu ujao Insha Allah
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Ijumaa tuna mchezo mgumu sana dhidi ya Al Alhly

Kwanza tunacheza na Bingwa Mtetezi
Pili tunacheza nyumbani kwake
Tatu anafaida ya goli moja dhidi yetu
Nne mpinzani wetu bado hajatimiza malengo yake kwani yeye malengo yake sio Nusu Fainali au Fainali ni Ubingwa hivyo ndo kwanza…

Ijumaa tuna mchezo mgumu sana dhidi ya Al Alhly Kwanza tunacheza na Bingwa Mtetezi Pili tunacheza nyumbani kwake Tatu anafaida ya goli moja dhidi yetu Nne mpinzani wetu bado hajatimiza malengo yake kwani yeye malengo yake sio Nusu Fainali au Fainali ni Ubingwa hivyo ndo kwanza…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Al hamdullilah tumewasili salama Misri majira ya saa 4 Asubuhi na taratibu zote zimekamilika na kufanikiwa kutoka Airport salama na kwa wakati tukipokelewa na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania Nchini Misri

Kwa sasa tumewasili Hotelin na baadae jioni tutaanza program ya mazoezi…

Al hamdullilah tumewasili salama Misri majira ya saa 4 Asubuhi na taratibu zote zimekamilika na kufanikiwa kutoka Airport salama na kwa wakati tukipokelewa na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania Nchini Misri Kwa sasa tumewasili Hotelin na baadae jioni tutaanza program ya mazoezi…
account_circle
Ahmed Ally(@ahmed__ally) 's Twitter Profile Photo

Unataka kuagiza gari?? Karibu Automedali Tz Limited tupo kwa ajili ya kazi hiyo

Automedali Tz Limited ni Wabobezi wa kuagiza Magari kutoka sehemu mbalimbali duniani

Malipo yetu ni kwa awamu mbili mpaka nne

Fika Ofisini kwetu Dar Free Market Jijini Dar Es Salaam

Au tupigie kwa #0748898888

Unataka kuagiza gari?? Karibu @medalimotors tupo kwa ajili ya kazi hiyo @medalimotors ni Wabobezi wa kuagiza Magari kutoka sehemu mbalimbali duniani Malipo yetu ni kwa awamu mbili mpaka nne Fika Ofisini kwetu Dar Free Market Jijini Dar Es Salaam Au tupigie kwa #0748898888
account_circle