'Kimsingi, tumekuwa watulivu na wanyenyekevu sana kwa Serikali yetu tukufu na viongozi wake wakifu kiasi ya kwamba hata wakiweka hadharani muswada wa sheria asubuhi na kututaka tufike Dodoma kutoa maoni yetu jioni, basi tutafanya hivyo bila ukinzani wowote, au malalamiko yoyote…