CHADEMA Tanzania
@chadematz
The Main Opposition Political Party in Tanzania ✌🏼
ID: 3309230189
https://whatsapp.com/channel/0029VaCuWWsEgGfGYYqUaS3X 05-06-2015 12:52:05
23,23K Tweet
773,773K Followers
12 Following
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu akiwasili Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na kupokea; 1.
Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama Mhe. MNYIKA John John alipowasili Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024. Pamoja na
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiwasili Makao Makuu ya Chama Mikocheni Dar es salaam kushiriki kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoketi kwa siku mbili, leo Septemba 17, 2024 na kesho Septemba 18, 2024. Pamoja na masuala mengine kikao hicho kitajadili na
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe akisalimiana na Makamu Mwenyekiti bara Mhe. Tundu Antiphas Lissu alipowasili tayari kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Chama kitakachoanza leo Septemba 17, 2024 na kumalizika kesho Septemba 18, 2024.
Katibu Mkuu wa Chama Mhe. MNYIKA John John akizungumza na watia nia katika nafasi mbalimbali za Kanda ya Nyasa, Pemba na Kusini kabla ya kuanza kwa usahili.
#BreakingNews Boniface Jacob Boniface Jacob amekamatwa eneo la hotel ya Golden Fork ,Sinza majira ya saa 11.09 jioni ya leo tarehe 18 Septemba 2024 ambapo polisi wawili (2) wenye sare na askari watatu (3) waliokuwa wamevaa kiraia na wenye silaha walifika hotelini hapo na