East Africa Press Councils (@eastafrica_pc) 's Twitter Profile
East Africa Press Councils

@eastafrica_pc

ID: 1705958988423086080

calendar_today24-09-2023 14:55:05

295 Tweet

94 Followers

39 Following

Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Afisa Rasilimali Watu na Utawwla wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Elizabeth Okuli (kulia) akimkabidhi fomu ya kujiunga na uanachama wa MCT meneja wa Kituo Cha Redio cha Living Water FM, Leah Emma wakati MCT ilipotembelea kituo kilichopo Mwaloni, jijini Mwanza Juni 8, 2024.

Afisa Rasilimali Watu na Utawwla wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Elizabeth Okuli (kulia) akimkabidhi fomu ya kujiunga na uanachama  wa MCT meneja wa Kituo Cha Redio cha Living Water FM, Leah Emma wakati MCT ilipotembelea kituo kilichopo  Mwaloni, jijini Mwanza Juni 8, 2024.
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura akisaini kitabu cha wageni Juni 10, 2024 alipotembelea ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura akisaini kitabu cha wageni Juni 10, 2024 alipotembelea ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari wa mkoa wa Mwanza
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura (katikati) akiwa na makamu mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mwanza Debora Malaba (kulia) na Mjumbe wa Klabu hiyo, Kwilasa Mahigu (kushoto) mara baada ya kutembea Klabu hiyo Juni 10, 2024

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura (katikati) akiwa na makamu mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa  Mwanza Debora Malaba (kulia) na Mjumbe wa Klabu hiyo, Kwilasa Mahigu (kushoto) mara baada ya kutembea Klabu hiyo Juni 10, 2024
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura akiangalia ramani ya ujenzi wa ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari ya Mkoa wa Mwanza (MPC). Ramani hiyo inatarajiwa kuweka ofisi na kituo cha uwezekezaji wa klabu. Pembeni ni mjumbe wa MPC Ndugu Kwilasa Mahigu.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura akiangalia ramani ya ujenzi wa ofisi za Klabu ya Waandishi wa Habari ya Mkoa wa Mwanza (MPC). Ramani hiyo inatarajiwa kuweka ofisi na kituo cha uwezekezaji wa klabu. Pembeni ni mjumbe wa MPC Ndugu Kwilasa Mahigu.
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura (wa nne kutoka kushoto waliosimama mbele) akiwa na baadhi ya waandishi na wafanyakai wa Radio Sengerema iliyopo jijini Mwanza. Sungura amefanya ziara ya kikazi Radio Sengerema Juni 11, 2024.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura (wa nne kutoka kushoto waliosimama mbele) akiwa na baadhi ya waandishi na wafanyakai wa Radio Sengerema iliyopo jijini Mwanza. Sungura amefanya ziara ya kikazi Radio Sengerema Juni 11, 2024.
Media Council of Kenya (@mediacouncilk) 's Twitter Profile Photo

Promoting Professionalism in the Creative Industry: The .Media Council of Kenya is calling for enhanced adherence to professionalism by creatives as they form a huge part of Kenya’s media landscape. The Council CEO .David Omwoyo, MBS today met creatives in Nairobi where he launched a report

Promoting Professionalism in the Creative Industry: The .<a href="/MediaCouncilK/">Media Council of Kenya</a>  is calling for enhanced adherence to professionalism by creatives as they form a huge part of Kenya’s media landscape. The Council CEO .<a href="/DavidOmwoyo/">David Omwoyo, MBS</a> today met creatives in Nairobi where he launched a report
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) atembelea Sengerema FM redio iliyopo wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Pamoja na kujionea shughuli mbalimbali za kituo hicho, lakini pia alifanya mazungumzo na Meneja wa Redio hiyo na wafanyakazi.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) atembelea Sengerema FM redio iliyopo wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Pamoja na kujionea shughuli mbalimbali za kituo hicho, lakini pia alifanya mazungumzo na Meneja wa Redio hiyo na wafanyakazi.
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura (kulia) akiwa na Meneja wa Miradi wa Ubalozi wa Sweden nchini Tanzania, Stephen Chimalo wakibadilishana mawazo wakati walipohudhuria kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari lililoanza leo Juni 18, 2024.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Ernest Sungura (kulia) akiwa na Meneja wa Miradi wa Ubalozi wa Sweden nchini Tanzania, Stephen Chimalo  wakibadilishana mawazo wakati walipohudhuria kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari lililoanza leo Juni 18, 2024.
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

"Waandishi wa habari tumieni kalamu zenu kwa kuweka mbele maslahi ya taifa letu" Mhe. Selemani Kakoso, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu

"Waandishi wa habari tumieni kalamu zenu kwa kuweka mbele maslahi ya taifa letu" Mhe. Selemani Kakoso, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu
Media Council (@mctanzania) 's Twitter Profile Photo

“Vyombo vya habari ni mshirika wa Serikali na si mshindani kama baadhi ya watu wanavyodhani” Daktari Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

“Vyombo vya habari ni mshirika wa Serikali na si mshindani kama baadhi ya watu wanavyodhani” Daktari Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
RMC (@rmc_rwanda) 's Twitter Profile Photo

In line with ongoing commitment to advancing media regulation and self-regulation across East Africa, the Rwanda Media Commission (RMC) hosted members of the East Africa Press Councils

In line with ongoing commitment to advancing media regulation and self-regulation across East Africa, the Rwanda Media Commission (<a href="/RMC_Rwanda/">RMC</a>) hosted members of the <a href="/eastafrica_pc/">East Africa Press Councils</a>
East Africa Press Councils (@eastafrica_pc) 's Twitter Profile Photo

Strategic Planning: We recently convened in Kigali to develop our Strategic Plan. The event was attended by all member organisations. MORE: bit.ly/3zmJX9Y

Strategic Planning: We recently convened in Kigali to develop our Strategic Plan. The event was attended by all member organisations.
MORE: bit.ly/3zmJX9Y