Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ernest Sungura (katikati) akiwa na makamu mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mwanza Debora Malaba (kulia) na Mjumbe wa Klabu hiyo, Kwilasa Mahigu (kushoto) mara baada ya kutembea Klabu hiyo Juni 10, 2024