Kassim Majaliwa Majaliwa
@kassimmajaliwa_
Official account of the Prime Minister of the United Republic of Tanzania. Member of Parliament Ruangwa Constituency-Lindi
ID: 1384738786840547328
http://pmo.go.tz 21-04-2021 05:20:49
76 Tweet
91,91K Followers
3 Following
Ninaungana na Mhe.Samia Suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumpongeza kwa dhati Mhe.Faustine Ndugulile kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Dunia (WHO) kwa Ukanda wa Afrika.