HabariLeo (@habarileo) 's Twitter Profile
HabariLeo

@habarileo

Kwa habari za uhakika na kina | Sehemu ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania
Tanzania Standard Newspapers (TSN)

ID: 349041397

linkhttp://www.tsn.go.tz calendar_today05-08-2011 12:55:37

59,59K Tweet

167,167K Takipçi

769 Takip Edilen

HabariLeo (@habarileo) 's Twitter Profile Photo

DODOMA - MTU anayehusishwa na tukio la vijana wanne wanaodaiwa kumbaka na kumuingilia kinyume cha maumbile msichana mwenye umri wa miaka 17 amefi kishwa mahakamani. Mshitakiwa huyo aliyetajwa kwa jina la afande Fatma Kigondo alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma

DODOMA - MTU anayehusishwa na tukio la vijana wanne wanaodaiwa kumbaka na kumuingilia kinyume cha maumbile msichana mwenye umri wa miaka 17 amefi kishwa mahakamani.

Mshitakiwa huyo aliyetajwa kwa jina la afande Fatma Kigondo alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma