ACTWazalendo
@actwazalendo
ACT Wazalendo ni chama cha siasa nchini Tanzania kinachoahidi kuleta |ZanzibarMpya |ZanzibarMoja |MamlakaKamili |TaifaLaWote |MaslahiYaWote
ID: 1053666023277281280
http://www.actwazalendo.or.tz 20-10-2018 15:15:30
21,21K Tweet
14,14K Takipçi
164 Takip Edilen
Leo Septemba 05, 2024, Chama cha ACTWazalendo kimefungua shauri la madai kuhoji uhalali wa OFISI YA RAIS TAMISEMI kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kesi itasikilizwa Septemba 12, 2024. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACT WAZALENDO YAHOJI MAHAKAMANI UHALALI WA TAMISEMI KUSIMAMIA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA. Chama cha ACTWazalendo kimefungua shauri la madai kuhoji uhalali na kuiomba Mahakama itoe amri ya kuizuia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kuratibu,
Kesho Septemba 06, 2024 Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman atazungumza na waandishi wa habari. Muda: Saa 3:00 Asubuhi Mahala: Golden Tulip Hotel Zanzibar #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Mkutano wa Mwenyekiti wa ACTWazalendo Ndugu Othman Masoud Othman utarushwa mubashara na Online Tv zifuatazo. 👉🏿ACT Media 👉🏿ACT Digital 👉🏿Mwanahalisi Tv 👉🏿Tifu Tv 👉🏿Jambo Tv 👉🏿The Chanzo #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
Mwenyekiti wa ACTWazalendo Taifa, Ndugu Othman Masoud Othman anazungumza na waandishi wa habari muda huu. Fuatilia kwa kufuata link hii👇🏿 youtube.com/live/hYWQ94LkT…