David Moshi
@davidmoshi9687
Fundi aluminum upvs & Balcony
ID: 1804790653445877795
23-06-2024 08:17:26
24 Tweet
2 Takipçi
23 Takip Edilen
Mh. January Makamba na Rais Samia Suluhu, naomba mfikirie watoto ambao wanazaliwa na Watanzania nje ya nchi. Wakifika miaka 18 wanalazimishwa wachague family, either familia yao ya Tanzania au ughaibuni. Tough choice. Tuachane na sheria ambazo zinatenganisha familia. #BirthRight is God