Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Member and former Party Leader @ACTWazalendo, Tegadalay ተጋዳላይ #HifadhiJamii #Ajira #MaishaNafuu #TheFutureIsPurple #Tanzania #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ID: 119385045
http://www.actwazalendo.or.tz 03-03-2010 13:48:48
164,164K Tweet
1,7M Takipçi
5,5K Takip Edilen
ZIARA AWAMU YA PILI SEPT 15, 2024 1. KC Dorothy Semu: Tanga Jimbo la Bumbuli. 2. M/Mwenyekiti Bara, Isihaka Mchinjita Jimbo la Kawe 3. Katibu Mkuu, Ado Shaibu Jimbo la Kibiti. 4. KC Mstaafu, Zitto MwamiRuyagwa Kabwe: Lupembe Njombe. #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo
#Miezi10 #WanachamaMilioni10 Leo KC Mstaafu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe na timu yake watakuwa Lupembe katika mwendelezo wa ziara ya #Miezi10 #WanachamaMilioni10 Atakuwa live #KingsFM Radio inayorusha matangazo yake kutoka Njombe. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #TheFutureIsPurple
Katibu Mkuu wa ACTWazalendo, Ndugu Ado Shaibu amefanya Mkutano wa Hadhara katika Jimbo la Mafia. Katika Mkutano huo, Ndugu Katibu Mkuu aliambatana na Mjumbe wa Kamati Kuu Kanda ya Pwani, Bi. Riziki S. Mngwali. Pamoja na mambo mengine, Katibu Mkuu amezungumzia migogoro ya ardhi
KC Mstaafu Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe amefanya mkutano wa hadhara katika Jimbo la Njombe Mjini. Mwami yuko katika ziara ya kushajiisha usajili wa #WanachamaMilioni10 kwa kipindi cha #Miezi10. Katika ziara hiyo ameambatana na Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official, Ndugu Abdul Nondo 🇹🇿. ACTWazalendo
KC Mstaafu Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe amefanya mkutano wa hadhara katika Jimbo la Njombe Mjini. Mwami yuko katika ziara ya kushajiisha usajili wa #WanachamaMilioni10 kwa kipindi cha #Miezi10. Katika ziara hiyo ameambatana na Mwenyekiti wa Ngome ya vijana_Official, Ndugu Abdul Nondo 🇹🇿. ACTWazalendo
Jana Sept 14, 2024, KC Dorothy Semu alifanya kikao cha ndani na viongozi wa Jimbo la Handeni Mjini. Hii ilikuwa ni kabla ya mkutano wa hadhara alioufanya kwenye Jimbo la Kilindi. Ujenzi wa ACTWazalendo unaendelea huku kila Jimbo likipata ujumbe wa kushiriki mabadiliko.
KC Dorothy Semu amefanya mkutano wa hadhara katika Jimbo la Kilindi Mkoani Tanga. Hii ni ziara ya awamu pili yenye madhumuni ya kuwasikiliza Wananchi na kushajiisha usajili wa Wanachama Milioni 10 kwa kipindi cha Miezi 10. #Miezi10 #WanachamaMilioni10 ACTWazalendo