Phillip Magai aka unfollow1884
@philip_magai
Honesty is the best policy
ID:1481942288536412164
14-01-2022 10:53:23
933 Tweets
45 Followers
188 Following
Follow People
ACT wamepigwa ndoige na marafiki zao MaCCM huko Tanga uchaguzi mdogo, wanalalamika. Tulikubaliana hakuna kulalamika, tuna' engage. Ama namna gani? Tulisema mazingira ya kisiasa chini ya Samia ni mazuri zaidi.. π
#SisiTumekubali #MamaYukoKazini
Tunahitaji KATIBA itakayo jilinda yenyewe dhidi ya watakaoivinja na kujitapa hadharani kama hivi
Jeshi la Polisi TZ
#KatibaMpyaniSasa
#WenyeNchiWananchi
Knowledge is power. Information is liberating. Education is the premise of progress, in every society, in every family. β Kofi Annan #ChangeTanzania