Shekh Ponda Issa Ponda (@sheikhponda) 's Twitter Profile
Shekh Ponda Issa Ponda

@sheikhponda

ID: 1427535856722714624

calendar_today17-08-2021 07:41:11

179 Tweet

20,20K Followers

288 Following

Shekh Ponda Issa Ponda (@sheikhponda) 's Twitter Profile Photo

Toka 2013-2024, watu wanatekwa na kupotezwa. 2023, Shura ya Maimamu ilitoa ripoti ya uchunguzi. Katika ripoti hiyo jumla raia 236, wametekwa na kupotezwa. Kauli ya CCM “HAWA TUKIWAPOTEZA MSIWATAFUTE” inawafanya watuhumiwa Na.1. Kama taifa linajali uhai wa raia Dola ichukue hatua.

Toka 2013-2024, watu wanatekwa na kupotezwa. 2023, Shura ya Maimamu ilitoa ripoti ya uchunguzi. Katika ripoti hiyo jumla raia 236, wametekwa na kupotezwa. Kauli ya CCM “HAWA TUKIWAPOTEZA MSIWATAFUTE” inawafanya watuhumiwa Na.1. Kama taifa linajali uhai wa raia Dola ichukue hatua.