Wizara ya Elimu Tanzania
@wizara_elimuTz
This is an Official page for the Ministry of Education, Science and Technology.
ID:707131141090885632
http://www.moe.go.tz 08-03-2016 09:09:36
1,6K Tweets
75,7K Followers
62 Following
Tumefungua dirisha la kuomba Mikopo kwa Wanafunzi wa ngazi ya Stashahada. Naomba vijana mchangamkie wangalieni kwenye tovuti ya Bodi ya Mikopo na Wizara mfuate taratibu za kuomba.
Prof. Mkenda
#UwekajijiwelaMsingiUjenziChuoVeta -Igunga
Tumetekeleza ahadi ya Rais kwa Watanzania, tumefanya Mapitio ya Sera na Mitaala ya elimu ili kuhakikisha elimu inayotolewa inakuwa bora inajenga ujuzi na kukidhi matakwa ya sasa na baadae kitaifa kikanda na kimataifa.
Prof. Mkenda
#uwekajijiwelaMsingiUjenziwaChuoVetaIgunga