Adui Wa Yanga(@Aduiwayanga) 's Twitter Profileg
Adui Wa Yanga

@Aduiwayanga

MATANGAZO KWA BEI YA PUNGUZO NJOO DM

Die fan for @SimbaSCTanzania and @ChelseaFC

Gracias๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•

ID:1423717477758947334

calendar_today06-08-2021 18:48:03

65,8K Tweets

183,5K Followers

365 Following

Follow People
JamaL(@cooL3sT_kid14) 's Twitter Profile Photo

Rais wa jamhuri ya Muungano ya tanzania, Mheshimiwa samia suluhu hassan, amehudhuria katika uzinduzi wa album ya muzikiwamama iliyoandaliwa na msanii harmonize, Rais wetu ni mchapakazi na anajituma sana, leo alikuwa katika mkutano wa baraza la usalama Afrika bila kuchoka...

Rais wa jamhuri ya Muungano ya tanzania, Mheshimiwa samia suluhu hassan, amehudhuria katika uzinduzi wa album ya muzikiwamama iliyoandaliwa na msanii harmonize, Rais wetu ni mchapakazi na anajituma sana, leo alikuwa katika mkutano wa baraza la usalama Afrika bila kuchoka...
account_circle
Jr ๏ฃฟ(@imaaJr_) 's Twitter Profile Photo

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, tunakushukuru sana kwa uongozi wako thabiti na mchango wako muhimu katika mkutano wa kuadhimisha miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. Umeonyesha dhamira ya kweli ya kudumisha amani na usalama barani Afrika, na kwa hakika

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, tunakushukuru sana kwa uongozi wako thabiti na mchango wako muhimu katika mkutano wa kuadhimisha miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika. Umeonyesha dhamira ya kweli ya kudumisha amani na usalama barani Afrika, na kwa hakika
account_circle
Headboy wa mtaa(@Sirajitz1) 's Twitter Profile Photo

Ujio wa Raisi samia kwenye tukio la uzinduzi wa Albam ya hatmonize ni ishara kua rais wetu ni

๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Msikivu
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Mnyenyekevu
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Ni mtu wa watu
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ Anawajali watu wote kila rika

Huyu ndo Raisi wa ukweli mitano tena

account_circle
Ngadu(@Ngadu01) 's Twitter Profile Photo

Baada ya kuongoza maadhimisho miaka 20 ya baraza la amani na usalama la umoja wa africa asubuhi, Mama samia hajawa nyuma kushiriki uzinduzi wa album mpya ya msanii Harmonize hii inaonyesha ni kiasi gani Rais Dkt Samia Suluhu yupo tayari ku_support sanaa na michezo.

Baada ya kuongoza maadhimisho miaka 20 ya baraza la amani na usalama la umoja wa africa asubuhi, Mama samia hajawa nyuma kushiriki uzinduzi wa album mpya ya msanii Harmonize hii inaonyesha ni kiasi gani Rais Dkt @SuluhuSamia yupo tayari ku_support sanaa na michezo.
account_circle
One sister(@rahmaa_simba) 's Twitter Profile Photo

Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu muda huu yupo Mlimani city katika uzinduzi wa Album ya msanii Harmonize . Hii inaonyesha ni jinsi gani mama ana Upendo na kila mtu.

account_circle
Jr ๏ฃฟ(@imaaJr_) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia Suluhu Hassan yupo kwenye uzinduzi wa albamu ya msanii Harmonize. Tukio hili linaonyesha uhusiano mzuri kati ya viongozi wa serikali na wasanii, na ni ishara ya kuthamini sanaa na utamaduni nchini Tanzania. Mama anaupenda sana mziki ๐Ÿ™Œ๐Ÿผ๐Ÿ˜

account_circle
Ulimwengu๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท(@HamisUniversal) 's Twitter Profile Photo

Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu muda huu yupo Mlimani city katika uzinduzi wa Album ya msanii Harmonize . Hii ina maana kubwa sana katika maendeleo ya Burudani katika nchi yetu. Ahsante mama kwa upendo huu๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ

account_circle
Msambinungwa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚(@EmeldaAnthony7) 's Twitter Profile Photo

Ewaaaaaah Mama amesimama kuongea kidogo sasa namuona Uzuri kabisaaa wueeeeeeh aaah Mama leo kajua kupendeza mnoo aloooh ๐ŸคŒโค๏ธโค๏ธโค๏ธ

account_circle
Licious_tz(@licious_tz) 's Twitter Profile Photo

Samia anapenda muziki mweee ningekua ndio Rais mimi ningekua zangu ikulu nimelala๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

account_circle
Msambinungwa ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚(@EmeldaAnthony7) 's Twitter Profile Photo

Huyu anaechukua video kwenye hii event kiukweli ananikwaza kwa nini akifika kwa Mama hatulii๐Ÿฅน
Me nataka kumuangalia mama tu๐ŸคŒ
Kiukweli amependeza mno bi mkubwa ๐Ÿ˜๐Ÿซถ

account_circle
Mzee Mkavu(@Mzee_mkavuu) 's Twitter Profile Photo

Huko mlimani city nasikia mama amependeza sana ila Samia ana utu sana sio simple kiongozi mkuu wa nchi yupo kwenye kuzindua album ha harmonize yake hadi usiku huu mama anajali

account_circle
Iam Salum Ally(@iamsalumally) 's Twitter Profile Photo

Harmonize amemuimbia Raisi Mama samia nyimbo kwenye uzinduzi wa Album yake โ€œMwanamke ni mtu na nusu, Kurudishwa nyuma usiruhusu, Kukatishwa tamaa usiruhusuโ€

Hapa konde katisha sana ๐Ÿฅถ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ”ฅ

Harmonize amemuimbia Raisi Mama samia nyimbo kwenye uzinduzi wa Album yake โ€œMwanamke ni mtu na nusu, Kurudishwa nyuma usiruhusu, Kukatishwa tamaa usiruhusuโ€ Hapa konde katisha sana ๐Ÿฅถ๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ”ฅ
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

Real Nations respect ๐Ÿซก people when theyโ€™re alive!

Rais Samia Suluhu Hassan ni wetu, We will stand with her, sapoti yetu kwake ni ya kudumu we will support her daima no matter what.!

Ametupa heshima tuliyoipoteza, ameunyanyua uchumi ulioanguka amefungua milango mingi ya fursa

Real Nations respect ๐Ÿซก people when theyโ€™re alive! Rais Samia Suluhu Hassan ni wetu, We will stand with her, sapoti yetu kwake ni ya kudumu we will support her daima no matter what.! Ametupa heshima tuliyoipoteza, ameunyanyua uchumi ulioanguka amefungua milango mingi ya fursa
account_circle