Carol Ndosi
@CarolNdosi
#WomenInTech #KilimoNaCarol | Digital Inclusion | SKILLS | @thelaunchpadtz @lpdigitaltz @techwomentz @nyamachomafest @sheroestanzania @_123productions
ID:248618354
http://www.lpdigital.or.tz 07-02-2011 11:26:11
339,6K Tweets
583,1K Followers
2,7K Following
Follow People
Chukua hatua ya kwanza kuelekea mafanikio! Fuatilia Mentorship CafΓ© inayoendelea hivi sasa tarehe iliyoandaliwa na taasisi ya LP Digital. Ni fursa muhimu ya kukuza ujuzi wako na kufikia malengo yako.
#Techwomentz #SkillingTanzania #Mitandaonasisi
Umwagiliaji ndio injini kubwa kwenye kilimo , uzalishaji wa mwaka mzima ndio utamfanya mkulima aweze kusema anafanya kilimo biashara , serikali kupitia wizara ya kilimo Wizara ya Kilimo , chini Mh Waziri Hussein M Bashe kwa mwaka wa fedha 2023/24 imepanga kutengeneza skimu za
We stay committed to the cause no matter how long it takes us.
All the best to the new cycle. #SkillingTanzania
Tumefanikiwa kuwakutanisha, ni wakati mzuri sana.
#SkillingTanzania #MentorShipCafe #MitandaoNaSisi
Kwa mara nyingine taasisi ya LP Digital imefanikiwa kuwa na Mentorship Cafe program inayosaidia kukuza ujuzi wako kupitia Mentor and Mentee session inayowajumuisha wabobezi na wataalamu katika nyaja mbalimbali.
#Techwomentz #SkillingTanzania #Mitandaonasisi
Hii Mentors Mentee Date ya The LaunchPad ni hatua nzuri maana hapa kama mentee unapata nafasi ya kujuana na mentor wako . #SkillingTanzania #MitandaoNaSisi #TechWomenTz
Tuko kwenye ulimwengu ambao tunatakiwa kujifunza toka kwa waliotangulia na leo The LaunchPad wanafanikisha hili kwa kukutanisha vijana na Mentors pale Grano cafe mlimani . Nawatakia mafanikio vijana wote #SkillingTanzania #MitandaoNaSisi #TechWomenTz
Mimi ni muumini mzuri wa Mentor and mentee session kwa sababu tusipojifunza kwa waliotutangulia tutakuwa kizazi cha aina gani eti??
The LaunchPad wameweza Leo kuwakutanisha vijana wenye uchu wa kujifunza na kujua zaidi na Mentors wao..
#SkillingTanzania
#MitandaoNaSisi
Happy Workers' Day!
Today we celebrate the tireless efforts and achievements of workers worldwide. Your dedication makes a difference!
#MitandaoNaSisi #hakizakidijitali #WorkersDay #LaborDay
Leo The LaunchPad wamekutanisha mentors na mentees kwenye #MentorshipCafe kwa ajili ya kutambuana na kubadilishana uzoefu . Hii ni katika kuhakikisha mentees wanapata ujuzi zaidi utakaowasaidia kwenye yale wanafanya #SkillingTanzania #MitandaoNaSisi #TechWomenTz
Carol Ndosi Wadudu wengi siwezi sema wote
Hawana maadili mfano kwenye mavazi,heshima na ustarabu ki ujumla mfano..
Jinsi wanavyo ongea na watu wazima hususan kwenye daladala au masokoni na n.k..
Ina umiza sana unatembea na mzazi au mtu unaye muheshimu
wako alafu ..
I βm so emotional about this - 6 years later
The LaunchPad LP Digital are back at it #MentorshipCafe
Thanks to all Mentors who signed up for this noble cause.
To supporting growth.
THANK YOU. #SkillingTanzania
P.S - Same venue too π