Ishengoma Irene
@IshengomaIrene
I am a solution|Women Football Welfare #sokalawanawaketz 🇹🇿|#AmaniHuanziaNyumbani|Online Safe Space| I work @globalpeacetz | Maisha Plus 2nd runner 2016.
ID:898840196673875969
https://instagram.com/_ishengoma?igshid=YmMyMTA2M2Y= 19-08-2017 09:32:57
47,0K Tweets
18,1K Followers
2,0K Following
Follow People
Update kwa yule dada aliyechoka kunyanyasika kingono kazini na meneja.
Kwanza kabisa niwashukuru nyote mliosaidia kwa namna moja ama nyingine
Kipekee kabisa niseme asante sana mno yani mno nimefurahi sana 🦁 𝐁 𝐈 𝐇 𝐄 𝐌 𝐎™ yeye ndie alie fanikisha binti huyu kupata kazi tena ya…
Karibu Sana Boss Ishengoma Irene hii ndio kikombo yetu, hope umejifunza, twende kwenye vitendo Sana
#2024AvoLife
Ya Leo Leo Kutoka Bungeni Dodoma
Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu, MP
akiwasili katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 Leo tarehe 13, Mei, 2024.
Ni siku nyingine tena, Tazama ujumbe mfupi kuhusu madhara yatokanayo na #NdoaZaUtotoni pamoja na #SheriaYaNdoa kwa watoto wa kike.
Usisahau kutoa maoni yako!
'Unachofikiria juu yako mwenyewe ni muhimu zaidi kuliko vile wengine wanafikiria juu yako.' ~ Afande Mwahaja.
Tukawe na week njema..
#MrUnknownCode
Watoto wachanga hulia mara kwa mara kwa sababu mbalimbali, lakini hio ni njia yao pekee ya mawasiliano. #ElimikaWikiendi
Ingawa kulia kwa mtoto mara kwa mara kunaweza kuwa tishio na kuwakatisha tamaa wazazi wapya, ni muhimu kukumbuka kuwa kulia ni jambo la kawaida na lenye afya kwa watoto wachanga. #ElimikaWikiendi
Njaa:
Hii ndio sababu ya kwanza ya kawaida ya kulia kwa watoto wachanga. Ikiwa mtoto wako analia na anaonyesha dalili za njaa, kama vile kutafuta titi au chupa ya maziwa, kumlisha (Kumnyonyesha) kunaweza kumtuliza.
#ElimikaWikiendi
Nepi(Diaper) Chafu/Nyevu:
Watoto wachanga hawapendi unyevu(majimaji), kwa hiyo ni kawaida mtoto mchanga kulia ikiwa diaper(nepi) yake imejaa mkojo au unyevu wa aina yoyote. Jitahidi kumbadilishia diaper(nepi) yake mara moja iwapo imelowa au yenye uchafu/unyevu.
#ElimikaWikiendi
Uchovu:
Watoto wachanga huchoka haraka, na wanaweza kulia wanapotaka kulala. Jaribu kumlaza mtoto wako kwenye mazingira yenye utulivu na mwanga hafifu au giza ili kumsaidia kulala kwa haraka.
#ElimikaWikiendi