Ummy Mwalimu, MP
@ummymwalimu
🇹🇿Member of Parliament, Tanga Urban 2020 - 2025 | Minister of Health Tanzania Jan 2022 to-date | Minister -TAMISEMI 2021 & Minister of Health 2015 - 2020
ID:525260096
http://www.moh.go.tz 15-03-2012 10:55:12
8,2K Tweets
895,3K Followers
700 Following
Tuamke mapema kesho jumapili tar 28 April na tushiriki #Run4Autism ili kuwaunga mkono Lukiza Autism Foundation ktk kuboresha huduma za Elimu na Afya kwa watoto wenye Usonji nchini #Run4Autism #UpendoHaunaMipaka #Autism 🇹🇿 #Usonji 🇹🇿
Huduma za matibabu ya Moyo za Kibingwa na Bobezi @ Taasisi ya Jakaya Kikwete zamvutia Rais wa Somalia. #KaziIendelee
----
Posted Repost app • @taasisiyamoyo_jkci Rais wa Jamhuri ya Somalia Mhe. Hassan Sheikh Mohamud amewapongeza wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete…
At Uhuru Stadium - Miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: 'Tumeshikamana na Tumeimarika, kwa Maendeleo ya Taifa letu'.
#UnitedRepublicOfTanzania 🇹🇿 #MuunganoDay2024 #UnionDay2024
Jumaa Mubarak and Happy Union Day! #TanzaniaAt60 #UnitedRepublicOfTanzania 🇹🇿 #MuunganoDay2024 #unionday2024
Dason Samia Suluhu Ummy Mwalimu, MP Mwanachama mwenzako wa chama ulichoko kamuibua huyu mgonjwa na tumemuelekeza cha kufanya. Fungua link hii
x.com/carlosbalikuli…
Kazi nzuri wataalamu wetu wa bugando medical centre . Tutaendelea kuhakikisha Baltazar anaendelea kupata huduma ikiwemo huduma za Utengamao ili aweze kupona zaidi pamoja na kuongea vizuri zaidi.
Thanks to immunization, a child born today is 40% more likely to see their fifth birthday than a child born 50 years ago. #HumanlyPossible