Samia Suluhu
@SuluhuSamia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. President of the United Republic of Tanzania
29-06-2014 07:42:17
1,0K Tweets
1,1M Followers
27 Following
Nimefurahi kushiriki sherehe za uapisho wa Rais wa 5 wa Kenya Mhe. William Samoei Ruto, PhD. Nampongeza Mhe. Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kwa kumaliza uongozi wake na nawapongeza Wakenya wote kwa kukamilisha mchakato wa uchaguzi kwa amani. Tuendelee kushirikiana kuijenga Afrika Mashariki.