mimilicious๐ŸŒน๐Ÿ’(@amina_hafidh) 's Twitter Profileg
mimilicious๐ŸŒน๐Ÿ’

@amina_hafidh

I don't give a damn๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ’šyanga damudamuโœŒ madam influencer
Man U fan โค๐Ÿ’›โค๐Ÿ’›
Muslim girl๐Ÿง•mtoto wa ulamaar๐Ÿ˜Œ๐Ÿ•‹

ID:1241332573495795713

calendar_today21-03-2020 11:55:41

178,9K Tweets

130,9K Followers

3,0K Following

cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

PANYA WANATOKA SHIMONI SASA

Luhaga Mpina na stori ya watu watano kuwashika mateka Watanzania milioni zaidi 62

Unajua kwamba kuna wafanyabiashara 5 tu nchi hii wanaweza kuchezesha bei ya sukari iwe wanavyotaka ili wapata faida ya kufuru? Yes. Watano tu unawahesabu kwa mkono wako

PANYA WANATOKA SHIMONI SASA Luhaga Mpina na stori ya watu watano kuwashika mateka Watanzania milioni zaidi 62 Unajua kwamba kuna wafanyabiashara 5 tu nchi hii wanaweza kuchezesha bei ya sukari iwe wanavyotaka ili wapata faida ya kufuru? Yes. Watano tu unawahesabu kwa mkono wako
account_circle
Muhaluro Jr(@muhaluro1) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofautitofauti.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
Instagram: Mamakajatz
Twitter Mamakajatz
Facebook: Mamakajatz
YouTube: Mama kaja tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofautitofauti. Fuatilia mitandao yetu ya kijamii Instagram: @mamakajatz Twitter @mamakajatz Facebook: Mamakajatz YouTube: Mama kaja tz #Mamakaja
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

MBOWE KITU GANI. AONDOKE CHADEMA.

Hii ipo kwenye status ya Msigwa si page za chama.

Ni hivi Lissu amesema hawezi kuanzisha chama Kipya is better Mbowe atoke ndani ya chama.

Lema anasema Mbowe amemsaliti kumpa chama Mgonja.

Heche ameondolewa kamati kuu.

Msigwa amekata

MBOWE KITU GANI. AONDOKE CHADEMA. Hii ipo kwenye status ya Msigwa si page za chama. Ni hivi Lissu amesema hawezi kuanzisha chama Kipya is better Mbowe atoke ndani ya chama. Lema anasema Mbowe amemsaliti kumpa chama Mgonja. Heche ameondolewa kamati kuu. Msigwa amekata
account_circle
Jambo TV(@Jambotv_) 's Twitter Profile Photo

VIDEO'

'Suala la nne ni matumizi mabaya ya madaraka ambayo yanatakiwa kuwa jambo la kihistoria. Waraka namba moja wa mwaka 2023 wa Katibu Mkuu Kiongozi, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya unaoelekeza na kusisitiza uzingatiaji wa sheria na kanuni katika utekelezaji wa mamlaka yao

account_circle
Siasazabongo(@Siasazabongo202) 's Twitter Profile Photo

Mama amesema Tanzania njema atakae na aje ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Karibu mwanangu Godbless E.J. Lema na Wenje

Nani kama Mama ?

account_circle
Siasazabongo(@Siasazabongo202) 's Twitter Profile Photo

*PICHA:* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofautitofauti Wakati wa Hafla ya kupokea Taarifa ya Kamati ya kuunda Mkakati wa utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo Juni 15,2024.

*PICHA:* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan Katika Matukio tofautitofauti Wakati wa Hafla ya kupokea Taarifa ya Kamati ya kuunda Mkakati wa utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo Juni 15,2024.
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐€๐Œ๐€ ni kiongozi ๐€๐๐€๐˜๐„๐’๐ˆ๐Š๐ˆ๐‹๐ˆ๐™๐€ na ๐Š๐”๐“๐„๐๐ƒ๐€.

๐Œ๐€๐Œ๐€ ni kiongozi ๐€๐๐€๐˜๐„๐’๐ˆ๐Š๐ˆ๐‹๐ˆ๐™๐€ na ๐Š๐”๐“๐„๐๐ƒ๐€. #MamaYukoKazini
account_circle
Getrude Mollel ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ(@Getrude_mollel) 's Twitter Profile Photo

๐ŸšจChukua hii, 10 kubwa za Rais Samia Suluhu๐Ÿšจ

๐ต๐‘ฆ; ๐บ๐‘’๐‘ก๐‘Ÿ๐‘ข๐‘‘๐‘’ ๐‘€๐‘œ๐‘™๐‘™๐‘’๐‘™

1. Alikuta hifadhi ya chakula nchini mwaka 2021 ukiwa tani 250,000, lakini hivi sasa ni 500,000.

2. Alikuta utoshelevu wa mbegu ukiwa 22% mwaka 2021, lakini sasa ni 78%.

3. Katika kipindi chake

๐ŸšจChukua hii, 10 kubwa za Rais Samia Suluhu๐Ÿšจ ๐ต๐‘ฆ; ๐บ๐‘’๐‘ก๐‘Ÿ๐‘ข๐‘‘๐‘’ ๐‘€๐‘œ๐‘™๐‘™๐‘’๐‘™ 1. Alikuta hifadhi ya chakula nchini mwaka 2021 ukiwa tani 250,000, lakini hivi sasa ni 500,000. 2. Alikuta utoshelevu wa mbegu ukiwa 22% mwaka 2021, lakini sasa ni 78%. 3. Katika kipindi chake
account_circle
cousin 420(@420Cousin) 's Twitter Profile Photo

Chadema ni mnara wa Babeli wanaharakati wanasema haipo imekufa, Mbowe aondoke hao ndiyo wafadhili wa mikutano ya Lissu kwasasa Singida.

Ni wale wale Sauti ya Watanzania linalomfadhili Dkt. Slaa na Maria Sarungi limeibuka na kudai kuwa sasa ni zamu ya wanaharakati kushika

Chadema ni mnara wa Babeli wanaharakati wanasema haipo imekufa, Mbowe aondoke hao ndiyo wafadhili wa mikutano ya Lissu kwasasa Singida. Ni wale wale Sauti ya Watanzania linalomfadhili Dkt. Slaa na Maria Sarungi limeibuka na kudai kuwa sasa ni zamu ya wanaharakati kushika
account_circle
Ulimwengu๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท(@HamisUniversal) 's Twitter Profile Photo

Yaan ukinuna uwe na Sababu. Kwa maana Maendeleo yanaonekana .

Keep pushing Mama . We need to be stable Economically ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

account_circle