John Pambalu
@john_pambalu
BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.
ID: 980521402678874113
https://twitter.com/Dream_Agritech?s=09 01-04-2018 19:04:54
24,24K Tweet
290,290K Followers
1,1K Following
Congratulations to #YALI2023 #MandelaFellow Terese Akpem being named a Top Agri-Found Pioneer! Terese founded Vet Konect LTD, advancing veterinary services and animal health in Nigeria. Learn more about his work here: buff.ly/3B9dV1R Educational & Cultural Affairs—U.S. Dept. of State YALI Network @usinnigeria
Rais Samia Suluhu ni kweli kwamba unaandaa propaganda kwamba CHADEMA ndio wanaohusika na utekaji? Kwamba mmewalipa mpaka influencers kutoka Kenya ili wafanye kazi hiyo? Kwa hiyo CHADEMA wanamiliki bunduki za vita na pingu? Hivi Samia anashauriwa na akina nani vilaza namna hii?
"Kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili watu wapatao 250 wametekwa, kuuawa na kupotezwa" Freeman Mbowe
"Tunataka Scotland Yard kutoka UK ndiyo wafanye uchunguzi wa mauaji". Freeman Mbowe
Mwananchi Newspapers nimesoma kwenye habari yenu kuwa mmenipigia sikupokea. Fahamuni tu kuwa wakati mnapiga nilikuwa naendesha mafunzo ya Viongozi wa Chadema Kanda ya Magharibi CHADEMA Kanda Magharibi Mkoani Tabora. Ingekuwa vyema kwa jitihada zenu hizo hizo mkawauliza Police Force TZ kwanini hawajatoa
Tamko la wanasiasa linajibiwa na jeshi. Kwamba Mhe. Samia Suluhu hana uwezo wa kujibu hoja za Mwenyekiti mwenzake wa chaka cha siasa isipokuwa kuagiza jeshi la polisi (Serious desperate situation). Mtuhumiwa anataka kutisha wanaopiga mwano akanatwe. #SamiaMusGo