Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi

@ukaguzitanzania

ISO 9001:2015 Certified. Karibu katika Akaunti Rasmi ya Twitter ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.

ID: 1311388466631106561

linkhttps://www.nao.go.tz/ calendar_today30-09-2020 19:38:54

534 Tweet

1,1K Followers

379 Following

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kutoka nchini Zambia, Mhe. Darious Mulunda (MB) wakati walipofanya ziara siku moja Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi Dodoma.

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bi. Wendy Massoy akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa kutoka nchini Zambia, Mhe. Darious Mulunda (MB) wakati walipofanya ziara siku moja Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi  Dodoma.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Kaimu CAG, Bi. Wendy Massoy akifungua mafunzo kwa Maofisa wa Udhibiti Ubora, Mawasiliano na Uhusiano wa Bunge kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda. Mafunzo hayo yanafanyika kuanzia Mei 20, 2024 jijini Arusha. Riksrevisionen Office of the Auditor General Uganda OAGRwanda Auditor-General Kenya

Kaimu CAG, Bi. Wendy Massoy akifungua mafunzo kwa Maofisa wa Udhibiti Ubora, Mawasiliano na Uhusiano wa Bunge kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda. Mafunzo hayo yanafanyika kuanzia Mei 20, 2024 jijini Arusha. <a href="/Riksrevisionen/">Riksrevisionen</a> <a href="/OAG_Uganda/">Office of the Auditor General Uganda</a> <a href="/OAGRwanda/">OAGRwanda</a> <a href="/OAG_Kenya/">Auditor-General Kenya</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Acting CAG, Ms. Wendy Massoy (seated in the center), poses with participants of the Workshop on Quality Control, Government Communication, and Parliamentary Liaison Officers. The workshop was officially opened on May 20, 2024, in Arusha. Riksrevisionen Auditor-General Kenya OAGRwanda

Acting CAG, Ms. Wendy Massoy (seated in the center), poses with participants of the Workshop on Quality Control, Government Communication, and Parliamentary Liaison Officers. The workshop was officially opened on May 20, 2024, in Arusha. <a href="/Riksrevisionen/">Riksrevisionen</a> <a href="/OAG_Kenya/">Auditor-General Kenya</a> <a href="/OAGRwanda/">OAGRwanda</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeandaa mafunzo kwa Wabunge, Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge LAAC, Bajeti, PIC na PAC. Mada ziliwasilishwa ni pamoja na Kodi, muelekeo wa "Artificial Intelligence" katika kazi za Ukaguzi, na Ukaguzi katika Usimamizi wa Miradi ya Serikali.

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imeandaa mafunzo kwa Wabunge, Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge LAAC, Bajeti, PIC na PAC. Mada ziliwasilishwa ni pamoja na Kodi, muelekeo wa "Artificial Intelligence" katika kazi za Ukaguzi, na Ukaguzi katika Usimamizi wa Miradi ya Serikali.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG, Bw. Charles E. Kichere (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamin Mashauri (watatu kulia waliokaa) na Wakaguzi kutoka Kampuni Binafsi za Ukaguzi mara baada ya kikao kazi cha pamoja cha kufanya tathmini ya Ukaguzi wa 2022-23.

CAG, Bw. Charles E. Kichere (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkaguzi Mkuu wa Ndani (IAG), Bw. Benjamin Mashauri (watatu kulia waliokaa) na Wakaguzi kutoka Kampuni Binafsi za Ukaguzi mara baada ya kikao kazi cha pamoja cha kufanya tathmini ya Ukaguzi wa 2022-23.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Karibu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi: Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16-23, 2024 ikiwa ni moja ya matukio katika kalenda ya Umoja wa Afrika (AU) ambapo nchi Wanachama huadhimisha kila mwaka kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni. Ofisi ya Rais - Utumishi

Afrosai E (@afrosaie) 's Twitter Profile Photo

Our annual regional Extractive Industries Audit workshop is underway in Dar es Salaam, Tanzania. The theme this year is the role of SAIs in ensuring better resource governance for the maximum benefit of citizens

Our annual regional Extractive Industries Audit workshop is underway in Dar es Salaam, Tanzania. The theme this year is the role of SAIs in ensuring better resource governance for the maximum benefit of citizens
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG, Mr. Charles E. Kichere, with AFROSAI-E CEO, Ms. Meisie Nkau, and Acting Auditor General of Sierra Leone, Mr. Abdul Aziz, at the Extractive Industries Audit Workshop held in Tanzania. Auditors from various African countries are participating in the workshop. Afrosai E

CAG, Mr. Charles E. Kichere, with AFROSAI-E CEO, Ms. Meisie Nkau, and Acting Auditor General of Sierra Leone, Mr. Abdul Aziz, at the Extractive Industries Audit Workshop held in Tanzania. Auditors from various African countries are participating in the workshop. <a href="/AFROSAIE/">Afrosai E</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG Mr. Charles E. Kichere met with The Gambia's AG Mr. Modou Ceesay and his delegation in Dodoma on July 8, 2024. They exchanged auditing experiences and strengthened ties between Tanzania and Gambia's Supreme Audit Institutions. National Audit Office, The Gambia Afrosai E #Audit #Tanzania #Gambia

CAG Mr. Charles E. Kichere met with The Gambia's AG Mr. Modou Ceesay and his delegation in Dodoma on July 8, 2024. They exchanged auditing experiences and strengthened ties between Tanzania and Gambia's Supreme Audit Institutions. <a href="/NAOGambia/">National Audit Office, The Gambia</a> <a href="/AFROSAIE/">Afrosai E</a> #Audit #Tanzania #Gambia
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

National Audit Office of Tanzania, conducted special training for Rukwa Press Club on Audit Reports on July 22, 2024. The goal is to enhance journalists' skills in writing articles and preparing public education programs. Afrosai E Riksrevisionen Tanzania Editors Forum (TEF) INTOSAI Development Initiative

National Audit Office of Tanzania, conducted special training for Rukwa Press Club on Audit Reports on July 22, 2024. The goal is to enhance journalists' skills in writing articles and preparing public education programs. <a href="/AFROSAIE/">Afrosai E</a> <a href="/Riksrevisionen/">Riksrevisionen</a> <a href="/EditorsForums/">Tanzania Editors Forum (TEF)</a> <a href="/INTOSAI_IDI/">INTOSAI Development Initiative</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeendesha mafunzo maalumu kwa Njombe Press Club kuhusu Ripoti za Ukaguzi. Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo waandishi ili waandike na kuandaa vipindi vya elimu kwa umma kuhusu Ripoti za Ukaguzi kwa ufanisi zaidi. Tanzania Editors Forum (TEF)

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeendesha mafunzo maalumu kwa Njombe Press Club kuhusu Ripoti za Ukaguzi. Mafunzo haya yamelenga kuwajengea uwezo waandishi ili waandike na kuandaa vipindi vya elimu kwa umma kuhusu Ripoti za Ukaguzi kwa ufanisi zaidi. <a href="/EditorsForums/">Tanzania Editors Forum (TEF)</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG, Mr. Charles E. Kichere has opened a 5-day Quality Monitoring Workshop in Dodoma. Participants are Auditors from Tanzania, Uganda, Malawi and Liberia. The workshop, organized by AFROSAI-E, aims to boost audit quality and efficiency. Afrosai E Office of the Auditor General Uganda GAC Liberia

CAG, Mr. Charles E. Kichere has opened a 5-day Quality Monitoring Workshop in Dodoma. Participants are Auditors from Tanzania, Uganda, Malawi and Liberia. The workshop, organized by AFROSAI-E, aims to boost audit quality and efficiency. <a href="/AFROSAIE/">Afrosai E</a> <a href="/OAG_Uganda/">Office of the Auditor General Uganda</a> <a href="/Gacliberia2015/">GAC Liberia</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG, Bw. Charles E. Kichere, akiwa na Mkurugenzi wa NBAA, CPA Pius Maneno, Naibu Mkaguzi Mkuu-DAG, Bi. Kubela Mwakatundu, na Wakaguzi wa NAOT kwenye mafunzo yaliyoandaliwa na NBAA kwa kushirikiana na NAOT. Mafunzo hayo yamefunguliwa na CAG, Agosti 26, 2024, Dodoma. The National Board of Accountants and Auditors

CAG, Bw. Charles E. Kichere, akiwa na Mkurugenzi wa NBAA, CPA Pius Maneno, Naibu Mkaguzi Mkuu-DAG, Bi. Kubela Mwakatundu, na Wakaguzi wa NAOT kwenye mafunzo yaliyoandaliwa na NBAA kwa kushirikiana na NAOT. Mafunzo hayo yamefunguliwa na CAG, Agosti 26, 2024, Dodoma. <a href="/nbaatanzania/">The National Board of Accountants and Auditors</a>
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (@ukaguzitanzania) 's Twitter Profile Photo

CAG, Mr. Charles E. Kichere, with the NBAA Executive Director, CPA Pius Maneno, Deputy Auditor General, Ms. Kubela Mwakatundu, and NAOT Auditors at a training organized by NBAA in collaboration with NAOT. The training was opened by CAG on August 26, 2024, in Dodoma. Afrosai E

CAG, Mr. Charles E. Kichere, with the NBAA Executive Director, CPA Pius Maneno, Deputy Auditor General, Ms. Kubela Mwakatundu, and NAOT Auditors at a training organized by NBAA in collaboration with NAOT. The training was opened by CAG on August 26, 2024, in Dodoma. <a href="/AFROSAIE/">Afrosai E</a>