Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profileg
Tanzania Editors Forum (TEF)

@EditorsForums

We defend freedom of expression and promote editorial excellence as keystone to realization of mature democracy in Tanzania.

ID:1106545504333283328

linkhttp://tanzaniaeditorsforum.com calendar_today15-03-2019 13:19:41

3,0K Tweets

3,4K Followers

691 Following

Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACTwazalendo amesema, ripoti ya kikosi kazi kilichoratibu maoni ya wadau kuhusu demokrais ya vyama vingi, haina mambo waliyotaka kwa 100%.

“…lakini ni hatua moja mbele,” amesema.

Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo amesema, ripoti ya kikosi kazi kilichoratibu maoni ya wadau kuhusu demokrais ya vyama vingi, haina mambo waliyotaka kwa 100%. “…lakini ni hatua moja mbele,” amesema.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Sheria hii (Sheria ya Huduma ya Habari) itafanyiwa marekebishe kama wadau walivyotoa maoni na tutakuja kuwa na sheria nzuri – Greson Msigwa, Msemaji wa Serikali.

Sheria hii (Sheria ya Huduma ya Habari) itafanyiwa marekebishe kama wadau walivyotoa maoni na tutakuja kuwa na sheria nzuri – Greson Msigwa, Msemaji wa Serikali.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Tujifunze kutokana na makosa ya mwaka 2014. Tulikwama kwa kuwa walisema rais wa wakati huo Jakaya Kikwete hakushirikisha vyama, Rais Samia (Suluhu Hassan) ameamua kuvishirikisha vyama - Absalom Kibanda, M/kiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).

Tujifunze kutokana na makosa ya mwaka 2014. Tulikwama kwa kuwa walisema rais wa wakati huo Jakaya Kikwete hakushirikisha vyama, Rais Samia (Suluhu Hassan) ameamua kuvishirikisha vyama - Absalom Kibanda, M/kiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

James Mbatia, aliyekuwa M/kiti wa Chama cha NCCR Mageuzi amefungua kesi ya madai dhidi ya M/kiti wa Baraza la Udhamini la chama hicho Joseph Selasini, akimtaka amlipe Bil 3 kwa kumtuhumu kuiba mali za chama hicho.

James Mbatia, aliyekuwa M/kiti wa Chama cha NCCR Mageuzi amefungua kesi ya madai dhidi ya M/kiti wa Baraza la Udhamini la chama hicho Joseph Selasini, akimtaka amlipe Bil 3 kwa kumtuhumu kuiba mali za chama hicho.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Rais Samia (Suluhu Hassan) amejaribu kuondoa uonevu akisisitiza mambo ya haki, lakini baadhi ya watu wanaonekana kutaka kumkwamisha - Dk. Glorious Shoo, Askofu Mstaafu wa TAG.

Rais Samia (Suluhu Hassan) amejaribu kuondoa uonevu akisisitiza mambo ya haki, lakini baadhi ya watu wanaonekana kutaka kumkwamisha - Dk. Glorious Shoo, Askofu Mstaafu wa TAG.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Suala la uhuru wa vyombo vya habari ni la kikatiba, sheria zote mbaya za vyombo ya habari zirekebishwe. Zile mbaya zinapaswa kuondolewa - Hashim Rungwe, Mwenyekiti CHAUMA.

Suala la uhuru wa vyombo vya habari ni la kikatiba, sheria zote mbaya za vyombo ya habari zirekebishwe. Zile mbaya zinapaswa kuondolewa - Hashim Rungwe, Mwenyekiti CHAUMA.
account_circle
TimesMajira(@TimesMajira) 's Twitter Profile Photo

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema yeye na wabunge wenzake watashiriki vyema katika mchakato wa kulipatia taifa sheria za habari zilizo bora na zitazodumu kwa muda mrefu.

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema yeye na wabunge wenzake watashiriki vyema katika mchakato wa kulipatia taifa sheria za habari zilizo bora na zitazodumu kwa muda mrefu. #TimesMajiraUpdates
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Wajumbe 19 wa Baraza la Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), wamepewa barua ya kujieleza kwanini wasichukuliwe hatua baada ya wajumbe hao kudai demokrasia ilisiginwa wakati wa kuteua majina ya wagombea Ubunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala).

Wajumbe 19 wa Baraza la Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), wamepewa barua ya kujieleza kwanini wasichukuliwe hatua baada ya wajumbe hao kudai demokrasia ilisiginwa wakati wa kuteua majina ya wagombea Ubunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala).
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Wakati watumiaji wa huduma za fedha kwa simu za mkononi ikizidi kuongezeka, thamani ya miamala wanayofanya inapungua kila uchao.

Hii ni kwa mujibu wa Ripoti ya TCRA ya Robo ya Mwaka inayosishia Septemba 2022 (Julai, Agosti & Septemba).

Mwananchi

Wakati watumiaji wa huduma za fedha kwa simu za mkononi ikizidi kuongezeka, thamani ya miamala wanayofanya inapungua kila uchao. Hii ni kwa mujibu wa Ripoti ya TCRA ya Robo ya Mwaka inayosishia Septemba 2022 (Julai, Agosti & Septemba). Mwananchi
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Korosho (CBT) ilitakiwa kueleza mwenendo wa bei ya korosho duniani kabla ya wakulima kususa kuuza korosho zao badala ya kusubiri mgomo katika minada ya awali - Mtutura Abdallah Mtutura, Msemaji Idara ya Kilimo ACTwazalendo Wazalendo.

Bodi ya Korosho (CBT) ilitakiwa kueleza mwenendo wa bei ya korosho duniani kabla ya wakulima kususa kuuza korosho zao badala ya kusubiri mgomo katika minada ya awali - Mtutura Abdallah Mtutura, Msemaji Idara ya Kilimo @ACTwazalendo Wazalendo.
account_circle
MwanaHALISI Digital(@Mwanahalisitz) 's Twitter Profile Photo

“Bungeni watu wanalalamika sana, wanasema kuna yatima hawapewi mikopo, alafu watu wenye uwezo wanapewa mikopo, mimi naunda kamati alafu nisikie kuna  ana mtu anasema waziri asiunde kamati, aah! Nitakula kichwa cha mtu,” Pro Mkenda.

“Bungeni watu wanalalamika sana, wanasema kuna yatima hawapewi mikopo, alafu watu wenye uwezo wanapewa mikopo, mimi naunda kamati alafu nisikie kuna  ana mtu anasema waziri asiunde kamati, aah! Nitakula kichwa cha mtu,” Pro Mkenda.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Serikali inapata taarifa nyingi kutoka katika vyombo vya habari, kwa sababu hawa waandishi huweza kufika eneo ambalo serikali imeshindwa kufika kwa wakati huo. Ni vizuri serikali ikalinda uhuru wa habari - Shekh Ponda Issa Ponda.

Serikali inapata taarifa nyingi kutoka katika vyombo vya habari, kwa sababu hawa waandishi huweza kufika eneo ambalo serikali imeshindwa kufika kwa wakati huo. Ni vizuri serikali ikalinda uhuru wa habari - Shekh Ponda Issa Ponda.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Sababu za kufungiwa chombo cha habari huwa haziendani na ukubwa wa kazi inayofanywa na chombo hicho cha habari - Sheikh Ponda Issa Ponda.

Sababu za kufungiwa chombo cha habari huwa haziendani na ukubwa wa kazi inayofanywa na chombo hicho cha habari - Sheikh Ponda Issa Ponda.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Nevile Meena, Mjumbe Kamati Tendaji TEF mesema, waandishi wa habari wana wigo mpana wa kufikisha taarifa zao na kuifanya jamii ichukue hatua au ishinikize hatua zichukuliwe kulingana na kile walichokisoma, kukisikia au kukiona.

Nevile Meena, Mjumbe Kamati Tendaji TEF mesema, waandishi wa habari wana wigo mpana wa kufikisha taarifa zao na kuifanya jamii ichukue hatua au ishinikize hatua zichukuliwe kulingana na kile walichokisoma, kukisikia au kukiona.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer akizungumza na wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) baada ya kufungua semina ya wanahabari kuhusu uchechemuzi wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari leo katika Hoteli ya Slip Way, Dar es Salaam.

Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer akizungumza na wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) baada ya kufungua semina ya wanahabari kuhusu uchechemuzi wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari leo katika Hoteli ya Slip Way, Dar es Salaam.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika warsha ya kuwajengea uwezo juu ya mipango ya uchechemuzi wa mabdiliko ya sheria za habari. Warsha hiyo imefanjika leo jijini Dar es Salaam.

Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika warsha ya kuwajengea uwezo juu ya mipango ya uchechemuzi wa mabdiliko ya sheria za habari. Warsha hiyo imefanjika leo jijini Dar es Salaam.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer akizungumza na wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) baada ya kufungua semina ya wanahabari kuhusu uchechemuzi wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari leo katika Hoteli ya Slip Way, Dar es Salaam.

Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Wiebe de Boer akizungumza na wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) baada ya kufungua semina ya wanahabari kuhusu uchechemuzi wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari leo katika Hoteli ya Slip Way, Dar es Salaam.
account_circle
Tanzania Editors Forum (TEF)(@EditorsForums) 's Twitter Profile Photo

Free Media can be the fourth Arm of the the governance of a country. I say fourth arm of governance not government - Wiebe Jakob de Boer, Ambassador of Netherland in Tanzania during opening session of Media Laws Advocacy organised by Tanzania Editors Forum (TEF).

Free Media can be the fourth Arm of the the governance of a country. I say fourth arm of governance not government - Wiebe Jakob de Boer, Ambassador of Netherland in Tanzania during opening session of Media Laws Advocacy organised by Tanzania Editors Forum (TEF).
account_circle