shady
@wemashady12
ID: 1797926358242217984
04-06-2024 09:40:40
68 Tweet
63 Followers
89 Following
Kwenye mambo yanayohusu SHERIA, ninao WAJIBU wa kumshauri Mheshimiwa Rais Samia Suluhu, kwa UAMINIFU na BILA KUJIPENDEKEZA. Kwenye UTEUZI wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), ndugu HAMZA JOHARI, kwa mujibu wa ibara ya 59(2) ya KATIBA ya Tanzania, HANA SIFA na HAFAI.
Wakati Rais Samia Suluhu amelala na mume wake leo usingizi mwororo, mama Ally Kibao hajalala akiomboleza msiba wa mumewe baada ya kuporwa uhai wake na watawala. Wakati Abdul na dada yake wanaendelea kufurahia uwepo wa baba yao, watoto wa Ally Kibao hawatokaa wamwone tena baba
‼️WANAFIKI MNATIA HASIRA SANA‼️ Tupo zaidi ya mwezi tunapaza sauti wenzetu wametekwa mnapita bila hata kuREPOST achilia kauli Mmeona MAUAJI ya Mzee Ali Kibao ime trend duniani na mnaulizwa "what is going on?" hadi Samia Suluhu kaona atoe kauli ya kinafiki - sasa mnakuja kutoa
Hii imeenda mazima, sisi tukusanye mawe tu ya kumalizia kazi😂😂. Heshima yako kaka mkubwa Masoud Kipanya 🫵🫵🫵!!
Nilipokamatwa na Police Force TZ nyumbani kwangu Moshi na kufikishwa Ofisi za RCO-K'njaro nilipigwa sana nikapoteza faham kuzinduka nipo Lockup. OCS wa kituo alipopita alinionea huruma na kuagiza nikatibiwe kwanza ingawa hawakunipeleka hospital. Kila nikikumbuka namuombea DEUSDEDITH SOKA
‼️HUMAN RIGHTS LAWYER TITO MAGOTI ‼️ Tito was abducted then arbitrarily detained - he says he died once then so now they cannot kill him again 😭😭 His life is threatened but he pushes on! Chama Cha Mapinduzi is ready to keep power at the expense of the lives of millions if need be