Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profileg
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

@wizara_afyatz

Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania.
Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA

ID:3044753523

linkhttp://www.moh.go.tz calendar_today19-02-2015 04:54:19

6,0K Tweets

232,8K Followers

135 Following

Follow People
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

WAKAZI WA MARAMBA WILAYANI MKINGA WAPATA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA MARA YA KWANZA

Na WAF – Mkinga

Kambi ya Matibabu ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia iliyoko katika Kituo cha Afya cha Maramba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga imeanza kuwa neema kwa wananchi wa Kijiji hicho waliofika

WAKAZI WA MARAMBA WILAYANI MKINGA WAPATA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA MARA YA KWANZA Na WAF – Mkinga Kambi ya Matibabu ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia iliyoko katika Kituo cha Afya cha Maramba Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga imeanza kuwa neema kwa wananchi wa Kijiji hicho waliofika
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

EPUKENI MATUMIZI HOLELA YA DAWA - WAZIRI UMMY

Na WAF - Tanga

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela ya dawa bila kufuata ushauri wa Madaktari ili kuepuka usugu wa dawa dhidi ya vimelea ambapo husababisha dawa hizo kushindwa kuponya.

EPUKENI MATUMIZI HOLELA YA DAWA - WAZIRI UMMY Na WAF - Tanga Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela ya dawa bila kufuata ushauri wa Madaktari ili kuepuka usugu wa dawa dhidi ya vimelea ambapo husababisha dawa hizo kushindwa kuponya.
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

MAPAMBANO DHIDI YA FISTULA TUWEKEZE NGUVU ZA PAMOJA

Na WAF, ARUSHA

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Afya ya Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya Dkt. Mzee Nassor amewataka wadau wa Fistula, kuendelea kuunganisha nguvu za pamoja kwenye mapambano dhidi ya tatizo hilo ili kutokomeza

MAPAMBANO DHIDI YA FISTULA TUWEKEZE NGUVU ZA PAMOJA Na WAF, ARUSHA Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Afya ya Mama na Mtoto kutoka Wizara ya Afya Dkt. Mzee Nassor amewataka wadau wa Fistula, kuendelea kuunganisha nguvu za pamoja kwenye mapambano dhidi ya tatizo hilo ili kutokomeza
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

6. a) Kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi ikiwemo;-
* kuanzisha upasuaji wa bongo na mishipa ya fahamu kwa kutumia Robot katika
Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI).
* Upandikizaji Ujauzito kk Hospitali ya Taifa Muhimbili a Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma

6. a) Kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi ikiwemo;- * kuanzisha upasuaji wa bongo na mishipa ya fahamu kwa kutumia Robot katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI). * Upandikizaji Ujauzito kk Hospitali ya Taifa Muhimbili a Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA KUIMARISHA HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA MSINGI ARUSHA

Kambi ya Madaktari bingwa wa Rais Samia inaenda kuimarisha huduma bora za afya kwa wananchi kupitia maboresho makubwa katika miundombinu na vifaa tiba hivyo kurahisisha upatikanaji wa huduma bora za

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA KUIMARISHA HUDUMA BORA ZA AFYA NGAZI YA MSINGI ARUSHA Kambi ya Madaktari bingwa wa Rais Samia inaenda kuimarisha huduma bora za afya kwa wananchi kupitia maboresho makubwa katika miundombinu na vifaa tiba hivyo kurahisisha upatikanaji wa huduma bora za
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

MADAKTARI BINGWA WATUA TANGA KUTOA HUDUMA KATIKA HOSPITALI ZA WILAYA 11

Na WAF – Tanga

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Buriani amewataka Madaktari bingwa wa Rais Samia kufanya kazi kwa kuzingatia uadilifu, weledi na utu katika utoaji wa huduma za kibingwa na

MADAKTARI BINGWA WATUA TANGA KUTOA HUDUMA KATIKA HOSPITALI ZA WILAYA 11 Na WAF – Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Buriani amewataka Madaktari bingwa wa Rais Samia kufanya kazi kwa kuzingatia uadilifu, weledi na utu katika utoaji wa huduma za kibingwa na
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA

Na WAF – Kilimanjaro.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi na kutumiua fursa ya kambi za madaktari bingwa wa Rais Samia kwenye hospitali

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA RAIS SAMIA Na WAF – Kilimanjaro. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu ametoa wito kwa wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi na kutumiua fursa ya kambi za madaktari bingwa wa Rais Samia kwenye hospitali
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

5. Kuimarisha upatikanaji wa wataalam katika Sekta ya Afya za ubingwa na ubingwa bobezi, kutoa ufadhili wa mafunzo ndani na nie ya chi pamoja na Kuanzisha kozi mpya ili kukidhi mahitaji.


Ummy Mwalimu, MP

5. Kuimarisha upatikanaji wa wataalam katika Sekta ya Afya za ubingwa na ubingwa bobezi, kutoa ufadhili wa mafunzo ndani na nie ya chi pamoja na Kuanzisha kozi mpya ili kukidhi mahitaji. #tunaboreshaafya @ummymwalimu
account_circle
Wizara ya Afya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(@wizara_afyatz) 's Twitter Profile Photo

-UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2023/24

TRILIONI 2.5 ZAGHARAMIA VIPAUMBELE KATIKA SEKTA YA AFYA

Na WAF - Dodoma

Serikali imeendelea kutenga fedha kutoka vyanzo mbalimbali kwa ajili ya kugharamia huduma za afya kwa wananchi ambapo katika kipindi cha mwaka 2023/24 kiasi

-UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA AFYA 2023/24 TRILIONI 2.5 ZAGHARAMIA VIPAUMBELE KATIKA SEKTA YA AFYA Na WAF - Dodoma Serikali imeendelea kutenga fedha kutoka vyanzo mbalimbali kwa ajili ya kugharamia huduma za afya kwa wananchi ambapo katika kipindi cha mwaka 2023/24 kiasi
account_circle