Holy(@yose_hoza) 's Twitter Profileg
Holy

@yose_hoza

Digital Manager | Media Strategic | Telecommunication Engineer

ID:3039495909

calendar_today15-02-2015 19:26:56

394,2K Tweets

155,0K Followers

32,3K Following

Follow People
The Chanzo(@TheChanzo) 's Twitter Profile Photo

Afrika: Tuendelee Kunywa Mtori Nyama Zipo Chini?

Na Mmassy Jr (II)

Wanasema kwamba ukidanganywa mara ya kwanza, wewe bado huhesabiki kama mjinga, ila ukidanganywa mara ya pili, na ukadanganyika, basi wewe tunakuita mjinga. Pia, wanasema kwamba ujinga ni wakati wa kwenda tu, na

Afrika: Tuendelee Kunywa Mtori Nyama Zipo Chini? Na @LelloMmassy Wanasema kwamba ukidanganywa mara ya kwanza, wewe bado huhesabiki kama mjinga, ila ukidanganywa mara ya pili, na ukadanganyika, basi wewe tunakuita mjinga. Pia, wanasema kwamba ujinga ni wakati wa kwenda tu, na
account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Tuwawezeshe watoto wa kike nchini kuendelea na masomo yao bila wasiwasi na kukosa kujiamini kwa kukosa pedi.
Saini petition ya kutaka serikali kubadili sera na sheria ili pedi ziwe bure.

bluefindigital.co.tz/msichana/

account_circle
M.A(@MoureenAbel) 's Twitter Profile Photo

MRADI WA MAJI SAME-MWANGA

Mradi wa Maji wa Same โ€“ Mwanga wafikia asilimia 90, Waziri Aweso awasha pampu kusukuma maji kwenda katika tanki la Kivengere

MRADI WA MAJI SAME-MWANGA Mradi wa Maji wa Same โ€“ Mwanga wafikia asilimia 90, Waziri Aweso awasha pampu kusukuma maji kwenda katika tanki la Kivengere #mamayukokazini
account_circle
Miss Chelsea1221(@MissChelsea1221) 's Twitter Profile Photo

Repost Dearโค๏ธ๐Ÿ™

OFFER OFFER OFFER

kuanzia 3 free delivery nchi nzima

Jezi moja 25000/=

0714336827

YOTE NATUMA

#Naomba Repost Dearโค๏ธ๐Ÿ™ OFFER OFFER OFFER #Jezi kuanzia 3 free delivery nchi nzima Jezi moja 25000/= 0714336827 #MIKOA YOTE NATUMA
account_circle
Baba G(@GjAssenga) 's Twitter Profile Photo

SUZUKI Swift New๐Ÿ”ฅ
Gari kali sana
New tires
No accident
Very clean
Safari kokote

Tshs. 5,300,000/=

Dar es Salaam | Tanzania

โ˜Ž๏ธ0655777249

SUZUKI Swift New๐Ÿ”ฅ Gari kali sana New tires No accident Very clean Safari kokote Tshs. 5,300,000/= Dar es Salaam | Tanzania โ˜Ž๏ธ0655777249 #assengamagaritz
account_circle
Fred Kavishe(@fredkavishe) 's Twitter Profile Photo

Unajua ukiwa na kadi Yanga ya CRDB Bank PLC inakuwezesha kufanya miamala mtandaoni,kulipia kwenye migahawa mbalimbali.

Kimsingi unaacha tembea na burungutu kubwa mfukoni wewe unachanja.

account_circle
Holy(@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Muda huu ni wako kuonesha upendo

Shiriki kuweka sahihi yako ya kukubaliana na ili kuwawezesha wasichana kupata taulo za kike kwa gharama nafuu
bluefindigital.co.tz/msichana/

Muda huu ni wako kuonesha upendo Shiriki kuweka sahihi yako ya kukubaliana na #PediBilaKodi ili kuwawezesha wasichana kupata taulo za kike kwa gharama nafuu bluefindigital.co.tz/msichana/
account_circle
DevotaTweve(@TweveDevota) 's Twitter Profile Photo

Mimi tayari nimeshasaini kudai mashuleni na kodi ziondolewe, wewe je?

Saini hapa kuunga mkono kodi kuondolewa katika pedi na zitolewe bure mashuleni.

Link:bluefindigital.co.tz/msichana/


Mimi tayari nimeshasaini kudai #PediBure mashuleni na kodi ziondolewe, wewe je? Saini hapa kuunga mkono kodi kuondolewa katika pedi na zitolewe bure mashuleni. Link:bluefindigital.co.tz/msichana/ #PediBilaKodi #PediBure
account_circle
Holy(@yose_hoza) 's Twitter Profile Photo

Lengo zuri la kuimarisha afya na kupunguza magonjwa ya kuambukizwa yanapunguza pia gharama za kuwahudumia wagonjwa wengi ambao wangechukua tahadhari mapema

account_circle
Gift Kimaro(@GiftKimaro7) 's Twitter Profile Photo

Serikali imefanya uzinduzi wa Kampeni ya Mtu ni Afya kwa awamu ya pili ambayo inahimiza kuhusu kujengo vyoo bora, lishe bora, udhibiti wa taka, udhibiti wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza sambamba na unawaji wa mikono kwa maji na Sabuni.

Serikali imefanya uzinduzi wa Kampeni ya Mtu ni Afya kwa awamu ya pili ambayo inahimiza kuhusu kujengo vyoo bora, lishe bora, udhibiti wa taka, udhibiti wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza sambamba na unawaji wa mikono kwa maji na Sabuni. #MamaYukoKazini
account_circle
Agnes Prudence(@agnes_prudence) 's Twitter Profile Photo

Tusisahau kula ๐Ÿ˜‹
Jipatie Kuku wa Kienyeji pure kabisa
Bei yake
Matetea 22,000/=
Majogoo 25,000/= na 27,000/=
Wazuri, wakubwa... wamenona
Tunakuchinjia na kunyonyoa bure kabisa
Tunapatikana Kiluvya
Delivery ipo ndani ya DSM, unalipia gharama za usafiri
Call 0623 374 863

Tusisahau kula ๐Ÿ˜‹ Jipatie Kuku wa Kienyeji pure kabisa Bei yake Matetea 22,000/= Majogoo 25,000/= na 27,000/= Wazuri, wakubwa... wamenona Tunakuchinjia na kunyonyoa bure kabisa Tunapatikana Kiluvya Delivery ipo ndani ya DSM, unalipia gharama za usafiri Call 0623 374 863
account_circle
Nkambi Foundation(@NkambiF) 's Twitter Profile Photo

Wanawake wakulima wa matunda na mbogamboga wakipatiwa mafunzo ya kilimo biashara, kutoka kwa wataalamu wa Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo(SUA).

Wanawake wakulima wa matunda na mbogamboga wakipatiwa mafunzo ya kilimo biashara, kutoka kwa wataalamu wa Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo(SUA).
account_circle
Daktari Wa Manesi ๐Ÿ’‰๐Ÿ’Š(@McinikaWaLamar) 's Twitter Profile Photo

Mjasiriamali, mtetezi wa biashara yako amewasili!

Fungua Akaunti ya Hodari leo na unufaike na huduma za malipo kwa urahisi kupitia Kadi, SimBanking, na benki ya mtandaoni. Pata mikopo ya biashara hadi TZS Milioni 50 na uhakika wa malipo kupitia CRDB LIPA Namba.

Tembelea tawi

Mjasiriamali, mtetezi wa biashara yako amewasili! Fungua Akaunti ya Hodari leo na unufaike na huduma za malipo kwa urahisi kupitia Kadi, SimBanking, na benki ya mtandaoni. Pata mikopo ya biashara hadi TZS Milioni 50 na uhakika wa malipo kupitia CRDB LIPA Namba. Tembelea tawi
account_circle
Collins Okinyo(@bedjosessien) 's Twitter Profile Photo

The Yanga Trophy Parade was special ๐Ÿ‘ ๐Ÿ‘Œ yesterday.

The things we love to see in African football โšฝ๏ธ. It doesn't come any better

Soka25east.com

account_circle