Holy
@yose_hoza
Digital Manager | Media Strategic | Telecommunication Engineer
ID:3039495909
15-02-2015 19:26:56
394,2K Tweets
155,0K Followers
32,3K Following
Follow People
Afrika: Tuendelee Kunywa Mtori Nyama Zipo Chini?
Na Mmassy Jr (II)
Wanasema kwamba ukidanganywa mara ya kwanza, wewe bado huhesabiki kama mjinga, ila ukidanganywa mara ya pili, na ukadanganyika, basi wewe tunakuita mjinga. Pia, wanasema kwamba ujinga ni wakati wa kwenda tu, na
MRADI WA MAJI SAME-MWANGA
Mradi wa Maji wa Same โ Mwanga wafikia asilimia 90, Waziri Aweso awasha pampu kusukuma maji kwenda katika tanki la Kivengere
#mamayukokazini
Kocha Mkuu Miguel Gamondi akielezea maandalizi ya mchezo wetu wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons #nbcpremierleague
Video kamili inapatikana Yanga TV (YouTube)
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
SUZUKI Swift New๐ฅ
Gari kali sana
New tires
No accident
Very clean
Safari kokote
Tshs. 5,300,000/=
Dar es Salaam | Tanzania
โ๏ธ0655777249 #assengamagaritz
Unajua ukiwa na kadi Yanga ya CRDB Bank PLC inakuwezesha kufanya miamala mtandaoni,kulipia kwenye migahawa mbalimbali.
Kimsingi unaacha tembea na burungutu kubwa mfukoni wewe unachanja.
#SwahibaLanguLako
Muda huu ni wako kuonesha upendo
Shiriki kuweka sahihi yako ya kukubaliana na #PediBilaKodi ili kuwawezesha wasichana kupata taulo za kike kwa gharama nafuu
bluefindigital.co.tz/msichana/
Lengo zuri la kuimarisha afya na kupunguza magonjwa ya kuambukizwa yanapunguza pia gharama za kuwahudumia wagonjwa wengi ambao wangechukua tahadhari mapema #MamaYukoKazini
Serikali imefanya uzinduzi wa Kampeni ya Mtu ni Afya kwa awamu ya pili ambayo inahimiza kuhusu kujengo vyoo bora, lishe bora, udhibiti wa taka, udhibiti wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza sambamba na unawaji wa mikono kwa maji na Sabuni.
#MamaYukoKazini
The Yanga Trophy Parade was special ๐ ๐ yesterday.
The things we love to see in African football โฝ๏ธ. It doesn't come any better
Soka25east.com
Miaka mitano ya mkwamo wa mabadiliko ya #SheriaYaNdoa ili wasichana wasiolewe chini ya miaka 18. Unadhani nini kifanyike ili serikali ibadili sheria hii?
#SheriaYaNdoa #NdoaZaUtotoni